Raia Mwema
JF-Expert Member
- Jun 30, 2008
- 535
- 79
mwakyembe anaogopa nini kuonyesha alivyoathirika ni kama kofia anayovaa anaficha kitu.
watahangaika sana mwaka huu, Tena hawa wa kwenda kutafuta sympathy makanisani ndio wakuwaogopa kama ukoma.
umeonaeeh..anatumia ugonjwa wake kugain sympath for political agenda.*sick*
Ni lini nayeye atatambua kuwa anapaswa kuwajibika mbele ya Tanzania.
Amebaki kusema anaonewa na anapitia magumu,je yeye hajawa sababu ya watanzania kuwa na hali mbaya?
Ni lazima atumbu mbele ya Mungu na watanzania kisha tusonge mbele.
Mimi awa watu wanaojiita wapiganaji wa ufisadi hawana jipya,ni midomo tu subiri 2014 watakavyoanza kubwabwaja mpaka mapovu yanavyowatoka,sitta ndiye mnafiki mkuu kwa jinsi alivyomaliza suala la richmond ni sawa na picha/filamu za kibongo ambapo mwisho wake uwa ni upupu mtupu,mwakyembe aliamua kuficha sehemu ya taarifa ili kuilinda serikali,kilango kwa sasa hata kumsikiliza bungeni unapata kichefuchefu!namkumbuka anna abdallah kwenye bunge lililopita aliwai kusema si kwamba hao watu wana uchungu na nchi zaidi yao bali wanajua kupiga kelele,ukweli sasa unajidhihirisha na kamwe siwezi kuwaamini tena.
mi' siongei! namsubiri 2015 jimboni, maana kama waliomchagua wapo kanisani kawe, basi atarudi bungeni 2015. huyu jamaa ni mnafiki kule kwake urambo hakuna hata rami za ndani, shule za advance ni moja tuu jimboni kwake. Wakuu! huyu 6..hatofautiani na seif khatibu ambaye jimbo lake lote mtandao uliopo ni Zantel tuu, huu ni uhuni. wasitufanye watanzania mbumbumbu, sitta hana lolote
Samwel Sitta amefunguka WAPO radio. Anasema Mwakyembe alipewa sumu. Mwakyembe anasema atapita makanisa yote kila Jumapili kumshukuru Mungu kwa kumnusuru.
Sitta amehubiri amesema kuna siku inakuja machozi ya watanzania hatamwagika bure.
ngwanjima anawatia ujinga lengo ni sadaka tu hapo
Nimeiona post yako kwa kuchelewa,je wameonge nn hasa?.Vp sura ya Mwakyembe is he recovering?