Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Sumu alipewa na Mkewe ni ngumu sana kuamini lakini alichelewa kuiga mbinu za Six ambaye kwasasa hamuamini mtu yeyote hadi Mkewe. Kwa sasa huwezi kumpa chakula Six popote na anayempikia ni Dadaye wa damu tu!Sumu hii ni kazi ya watatu wa ufisadi na kaka yao wa nne.