Mwakyembe awaliza watu wa Kyela

Mwakyembe awaliza watu wa Kyela

Mwakyembe hajaathirika na sumu. Hebu acheni majungu. Nashangaa sana mheshimiwa waziri anatembelea Kyela kisiasa wakati ana kazi ofisini, kwani yupo leave?

Kwani ofisi ndiyo iliyompa Ubunge au wananchi wa Kyela?
 
MUNGU amjalie afya njema Mwakyembe waliyotaka kuwa hayakuwa
 
mawaziri wote wanaotetea watz juu ya ufisadi inabidi tuwaandalie elmet na groves ili wasizulike, sijui itakuwaje na joto la Dar
 
Mwakyembe hajaathirika na sumu. Hebu acheni majungu. Nashangaa sana mheshimiwa waziri anatembelea Kyela kisiasa wakati ana kazi ofisini, kwani yupo leave?

Mmmh naona post zingine ni za ku-slow down server ya JF. Sasa hao walioko Arumeru Mashariki wako leave? Mbona mapovu kabla hata ya kufikiria!!?
 
Mwakyembe hujipendi,hupendi familia yako, na wala huipendi nchi yako. Umekubali kufa na siri nzito (kuificjia siri) CCM na serikali yake.
 
Mwakyembe hajaathirika na sumu. Hebu acheni majungu. Nashangaa sana mheshimiwa waziri anatembelea Kyela kisiasa wakati ana kazi ofisini, kwani yupo leave?

KwaniKina Wasira, Madeye na wenzao walioko East Arumeru wako leave?
 
sasa kwa hali yake ilivo anaweza tena kuendelea vizuri na kazi za uwaziri?? kwa nini asiwe mzalendo akaachia hiyo nafasi ili apate muda waa kupumzika na kucheki zaidi afya yake!!yaani wapiga kura wake wanamwona huruma na kutaka kujua kilichompata mbunge wao yeye anasema waache majungu??acha afe na kamba shingoni!!
Njaa ndugu yangu anajua akikosa huo Ubunge tena, hana uhakika na 2015, na hiyo hali yake itakuwaje? Ila huyu jamaa ni mnafiki na wa kutupa pamoja na Sitta.
 
akihutubia maelfu ya watu kyela, dr. Harrison mwakyembe kasema yeye ni Mtanzania sio CCM na akaongeze awale wanao jisifia kwamba wao ni CCM wanajidanganya kwani hakuna CCM bila taifa".

Kitu cha ajabu ni kwamba katika mkutano huo amewakaribisha hata viongozi wa chadema. Kiongozi wa CHADEMA ambaye amepata nafasi ya kuongea kasema;
Anayoyapigania Mwakyembe ndiyo CHADEMA tunapigania, sisi chadema tunapambana na ufisadi katika nchi hii kama Mwakyembe afanyavyo. Mungu amlinde Mwakyembe.

Source: ITV 20:00 leo
 
Dk amegundua kuwa CCM ina wenyewe, kwa hiyo anatafuta upande sahihi wa kusimama.
 
Yaani sitaki kuamini kuwa nilishawahi kumuonea huruma huyu jamaa.He gets what he realy deserves.,inaonekana bado anaumwa,asiache dozi.
 
anacho ng'ang'ania c.c.m kitu gani?aondoke ajiunge na CDM.uhai ni bora kuliko huo uwaziri anao ung'ang'ania huko magamba
 
Taifa linamhitaji mwakyembe kuliko wakati wowote ili walivushe vinginevyo mafisadi watalimaliza,hongera kwa kuwakaribisha CDM kwani wote falsafa ni moja ya kutokomeza ufisadi na mafisadi wenyewe,Mh.tunakuombea upone kabisa ili mafisadi wauone moto wako,tunajua wanavyokuhujumu lakini tuko pamoja na wewe mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom