Mwakiembe uwanja wa ndege umekuponza

Mwakiembe uwanja wa ndege umekuponza

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.

Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.
 
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.

Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.

Everything is possible in Tanzania, you might be right or not!
 
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.

Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.

Uwanja wa ndege na bandari ndio vilivyo mponza aliingilia maslahi ya wakubwa
 
Uwanja wa ndege na bandari ndio vilivyo mponza aliingilia maslahi ya wakubwa

Halafu we huwa nakumaind, unapenda sana kuropoka mambo bila kuwa na facts! We utakuwa sio mtanzania wewe, ovyo kabisa!
 
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.

Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.

Una ushahidi? punguzeni stori za vijiweni. Jina lake lisingekuwamo katika baraza jipya ungeandika nini? watu wengine bana. Mnakera sana.
 
Una ushahidi? punguzeni stori za vijiweni. Jina lake lisingekuwamo katika baraza jipya ungeandika nini? watu wengine bana. Mnakera sana.

Ushahidi ni wa kimazingira mno , hivi wewe ni kipofu kiasi hicho? pia Mrema kung`olewa wizara ya mambo ya ndani Enzi zile baada ya kukamata dhahabu uwanja wa ndege ulitaka ushahidi?
 
Mwakyembe na 6 mlipewa visu mjikate wenyewe. 6 yupo ICU na Mwakyembe bado yupo ER anasubiri empty bed akalazwe
 
Ushahidi ni wa kimazingira mno , hivi wewe ni kipofu kiasi hicho? pia Mrema kung`olewa wizara ya mambo ya ndani Enzi zile baada ya kukamata dhahabu uwanja wa ndege ulitaka ushahidi?


Rekebisha kumbukumbu zako kuhusu Mrema kuondolewa kwenye wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani...

Hakuondolewa kwa sababu hiyo unayoisema...rudia kuitafuta historia...

Pamoja na upuuzi wake mwingi alionao, Mrema anabaki katika histori ya Tanzania kama mtu pekee aliyewahi kukataa kukubaliana na uamuzi wa kipuuzi wa baraza la mawaziri na kuamua kuuweka upuuzi huo hadhatani...Hicho ndicho kilichomuondoa kwenya nafasi hiyo....

Tafakari...
 
Rekebisha kumbukumbu zako kuhusu Mrema kuondolewa kwenye wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani...

Hakuondolewa kwa sababu hiyo unayoisema...rudia kuitafuta historia...

Pamoja na upuuzi wake mwingi alionao, Mrema anabaki katika histori ya Tanzania kama mtu pekee aliyewahi kukataa kukubaliana na uamuzi wa kipuuzi wa baraza la mawaziri na kuamua kuuweka upuuzi huo hadhatani...Hicho ndicho kilichomuondoa kwenya nafasi hiyo....

Tafakari...

Wewe ndiye huna kumbukumbu kabisaa, huo upuuzi unasema aliuweka hadharani ni baada ya kutoka wizara ya mambo ya ndani, Rai Mwinyi alitengua uteuzi wa uwaziri wa Mrema akiwa wizara ya kazi, kule ndiko alikotoa siri za baraza la mawaziri kutokana na frustration za kung`olewa mambo ya ndani.
 
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.

Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.
Siamini, mbona aliyesema serikali ya majini kabaki?
 
Wewe ndiye huna kumbukumbu kabisaa, huo upuuzi unasema aliuweka hadharani ni baada ya kutoka wizara ya mambo ya ndani, Rai Mwinyi alitengua uteuzi wa uwaziri wa Mrema akiwa wizara ya kazi, kule ndiko alikotoa siri za baraza la mawaziri kutokana na frustration za kung`olewa mambo ya ndani.


Ni vema nikakupa ushindi hata kama hustahiri, maana umejibu kama unagombana vile...

Tafakari...
 
Una ushahidi? punguzeni stori za vijiweni. Jina lake lisingekuwamo katika baraza jipya ungeandika nini? watu wengine bana. Mnakera sana.

Umekerwa na madawa ya kulevya au hiyo wizara?
 
Back
Top Bottom