runna
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 345
- 793
Mwaka unakaribia kuisha Umefanya nini kwa Taifa lako na Familia yako???Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha
1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km
Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]