Kikwete aliongea tu. Utekelezaji ni jambo lingine.Kazi ya kujenga barabara JK alijitahidi sana ,JPM vipaumbele vyake ni reli na Air Tanzania
Tuntemeke sanga hakuwa brain locked kihivyo na hakutoa sifa ambazo mtu hana.Muda wake utaisha hata kiwanda kimoja hamtakiona.Kikwete aliongea tu. Utekelezaji ni jambo lingine.
Jpm anatekeleza. Kumbuka kwamba, miradi kibao ilisimama mwaka Jana. But now, iko hewani
Magufuri noma aisee.
MhhhhhTuntemeke sanga hakuwa brain locked kihivyo na hakutoa sifa ambazo mtu hana.Muda wake utaisha hata kiwanda kimoja hamtakiona.
Nasikia kulikuwa na madeni mengi mno kuhusina na ujenzi wa barabara na Mkuu ameyalipa karibia yaishe.Kikwete aliongea tu. Utekelezaji ni jambo lingine.
Jpm anatekeleza. Kumbuka kwamba, miradi kibao ilisimama mwaka Jana. But now, iko hewani
Magufuri noma aisee.
Ile ilikuwa speed ya Mmasai wa Monduli isingekuwa ile ajali ya Richmond Leo hii tungekuwa tunakimbizana na Ethiopia kimaendeleo na kimiradi, Kenya wasingetugusa Kamwe, mana nchi ingekuwa na wasomi wakutosha wa kisasa katika kila Kada na Eneo, Miradi ingekamilika kwa wakati,nadhani ila kasi yako ilikuwa ya aina yake,Jk mwenyewe alishindwa kwenda nayo.Awamu ya nne kipindi kama hilo UDOM ilikuwa inaelea kukamilika, mabarabara ya mkapa yanamaliziwa yaanzwe ya Jk mwenyewe! Mashule ya kata yalikuwa yamepamba moto! Nchi ilikuwa inakimbia kweli kweli
Mungu wangu huko hewani inaelekea wapi? Tuombe Mungu isije kuishia hukohuko kama ndege ya MalaysiaKikwete aliongea tu. Utekelezaji ni jambo lingine.
Jpm anatekeleza. Kumbuka kwamba, miradi kibao ilisimama mwaka Jana. But now, iko hewani
Magufuri noma aisee.
Kwa nini alipe madeni ya wizara yake ya zamani tu? Kulikoni?Nasikia kulikuwa na madeni mengi mno kuhusina na ujenzi wa barabara na Mkuu ameyalipa karibia yaishe.
hata cha kusindika senene?Tuntemeke sanga hakuwa brain locked kihivyo na hakutoa sifa ambazo mtu hana.Muda wake utaisha hata kiwanda kimoja hamtakiona.