Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

We mtoa thread unaangalia mkoa uliopo, njoo arusha uone bara bara znavojengwa sio kuleta mahaba, au na ww ni ile asilimia 61?
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]
Zungumza na airport Dodoma
 
Ndugu, kwanza jifunze mwaka wa fedha unaanza lini. Magufuli mwaka wake umeanza July mwaka huu. Kuanzia December hadi June alikuwa anatumia hela iliyo kwenye budget ya Kikwete. Kama barabara tuanze kuangalia amejenga nini kuanzia July hadi sasa. Acha kulalama tuuuu. Kwanza hiyo barabara ya Morocco unayoona ndo pekee kajenga kumbuka kwamba hizo hela zingeliwa na wajanja wachache siku ya sherehe za uhuru kwani tayari zilikuwa zishatengwa na serikali ya JK.
kama hela zilikuwa za jk kwa nini alizitumia!!!hizo barabara za morocco na ghana basi angeziacha.
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]
vipi billion 18 zinasoenda mashuleni kila mwezi, ndege zilizoagizwa, flyover inayojengwa tazara, pesa zilizotengwa kwa ujenzi wa reli standard gauge au umeamka na viroba jomba, by the way wewe mwaka unaisha umejenga hata choo cha shimo? au kazi kuzungusha mikono kijiweni
 
watu bana, msipende kuandika ujinga...watu hawana uzalendo. Mwaka umeisha ndiyo, wewe unawaza barabara! husemi watumish hewa!? husemi reli, husemi elimu bure, husemi madawati. Acheni roho ya kwanini. Tumuunge mkono Rais wetu ana dhamira ya dhati watanzania.
alafu nasikia den la taifa limepanda zaidi
 
Duh mshindwe na mkakati wenu wa kumsema mh raisi vibaya. Kama wewe hauoni alichofanya mpaka sasa ni kwako. Kila mtu anaona. God bless our president Magufuli. Tunakuombea raisi wetu.
Tuambie nawewe kwa hoja amewafanyia nini watu wa Tanzania mpaka sasa?
wenye busara wanasema kabla mambo hayajafika mbali tukaharibikiwa kabisa, sasa tukae kimya mpaka tuingie shimoni ndio mjue mambo sio sawa? Kuweni wazalendo kwa kukubali kukosolewa kwa faida ya wote. Mambo yakituwia magumu wahanga wakubwa ni walala hoi huko lumumba na ikulu hantahusika maana hamjui mtu kukosa kula ama kula mlo mmoja kwa siku kukoje so ili kuheshimiana angalau sikilizeni watu ndio maana mzee wa upako kasema mna viburi wakati hamjui kuongoza watu majivuno tuu yamewajaa.
 
Kama mlifikiri haya yatafanyika ndani ya mwaka mmoja tu, basi MNA haki ya kulalamika. Hata hivyo, EL FISADI si aliwaambia kila kitu kitakuwa tayari baada ya siku 100?
 
Ww mtoa Uzi jitacmin ww tokea January mpaka ss umejenga au umefanya nn? kwenye familia yako ndio baadaye utathimin serikali ya awamu ya tano mpaka ss imefanya nn?
 
Tuambie nawewe kwa hoja amewafanyia nini watu wa Tanzania mpaka sasa?
wenye busara wanasema kabla mambo hayajafika mbali tukaharibikiwa kabisa, sasa tukae kimya mpaka tuingie shimoni ndio mjue mambo sio sawa? Kuweni wazalendo kwa kukubali kukosolewa kwa faida ya wote. Mambo yakituwia magumu wahanga wakubwa ni walala hoi huko lumumba na ikulu hantahusika maana hamjui mtu kukosa kula ama kula mlo mmoja kwa siku kukoje so ili kuheshimiana angalau sikilizeni watu ndio maana mzee wa upako kasema mna viburi wakati hamjui kuongoza watu majivuno tuu yamewajaa.
kama hayo maneno kayasema mzee wa upako,nakubaliana nae asilimia 100,wamejaa viburi na wanafanya kazi kwa kukomoa wakijidanganya kuwa wanarekebisha,unarekebisha mambo ya nyuma badala ya kuanza na unapoanzia wewe.
Eti unahakiki,mwaka unaisha unahakiki tuuu,
 
Huu uzi umeletwa kidhihaka. Iangalie nchi/utawala kwa ujumla na sio barabara tu. Au wewe ndio yule kihiyo uliyetumbuliwa kwenye elimu?
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]
Chadema tuliwatuma mabadiliko ,wametuletea maandamano.

Tunajuta
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12][/Nadhanii utembei sana uone sababu mimi kwangu lami hadi mlangoni sasa hivi ndo wanamaliza mitaro
 
Back
Top Bottom