Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

Duh mshindwe na mkakati wenu wa kumsema mh raisi vibaya. Kama wewe hauoni alichofanya mpaka sasa ni kwako. Kila mtu anaona. God bless our president Magufuli. Tunakuombea raisi wetu.
 
1470797384419.jpg
 
Mkuu wangu jana nilisikia waziri wa viwanda akijibaragua kuwa sasa senene wanauzwa mpaka kwenye supermarkets za UK na US....nilibaki mdomo wazi..
Hahahaha serikali inajenga viwanda vya kusindika senene!!!
Halafu huyo waziri ana maneno meeengi hajui kama wizara yake ndio anguko la awamu i ya tano
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]

Ndugu, kwanza jifunze mwaka wa fedha unaanza lini. Magufuli mwaka wake umeanza July mwaka huu. Kuanzia December hadi June alikuwa anatumia hela iliyo kwenye budget ya Kikwete. Kama barabara tuanze kuangalia amejenga nini kuanzia July hadi sasa. Acha kulalama tuuuu. Kwanza hiyo barabara ya Morocco unayoona ndo pekee kajenga kumbuka kwamba hizo hela zingeliwa na wajanja wachache siku ya sherehe za uhuru kwani tayari zilikuwa zishatengwa na serikali ya JK.
 
kuna mengine ya muhimu kuliko hizo barabara, kwanza tunasafisha wafanyakazi hewa halafu tunasafisha upinzani uchwara.
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]

Kwa hiyo ulitaka akajenge tena barabara ya msata-bagamoyo??? barabara si zipo tayari?
 
watu bana, msipende kuandika ujinga...watu hawana uzalendo. Mwaka umeisha ndiyo, wewe unawaza barabara! husemi watumish hewa!? husemi reli, husemi elimu bure, husemi madawati. Acheni roho ya kwanini. Tumuunge mkono Rais wetu ana dhamira ya dhati watanzania.
 
Ndugu, kwanza jifunze mwaka wa fedha unaanza lini. Magufuli mwaka wake umeanza July mwaka huu. Kuanzia December hadi June alikuwa anatumia hela iliyo kwenye budget ya Kikwete. Kama barabara tuanze kuangalia amejenga nini kuanzia July hadi sasa. Acha kulalama tuuuu. Kwanza hiyo barabara ya Morocco unayoona ndo pekee kajenga kumbuka kwamba hizo hela zingeliwa na wajanja wachache siku ya sherehe za uhuru kwani tayari zilikuwa zishatengwa na serikali ya JK.
haya miezi mitatu kafanya nini?? haaaaaa
 
Back
Top Bottom