Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

Mwaka unakatika amejenga km 7 tu za barabara

Awamu ya nne kipindi kama hilo UDOM ilikuwa inaelea kukamilika, mabarabara ya mkapa yanamaliziwa yaanzwe ya Jk mwenyewe! Mashule ya kata yalikuwa yamepamba moto! Nchi ilikuwa inakimbia kweli kweli
Hata JPM akiondoka,mtasema Maneno hayahaya kwa Rais ajaye.
 
Sishabikii huu uongozi bt kibudget ndyo tupo mwanzo kabisa.

Maendeleo yanaanzia Chato ambapo alipata kura za kutosha uko kwingne subrni kwanza si mlijifanya wajanja kubania vikura vyenu.

Nenda chato ukaangalie maendeleo ya mwendokas.
Na huku kwetu walimzungushia mikono ndo watakoma![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ile ilikuwa speed ya Mmasai wa Monduli isingekuwa ile ajali ya Richmond Leo hii tungekuwa tunakimbizana na Ethiopia kimaendeleo na kimiradi, Kenya wasingetugusa Kamwe, mana nchi ingekuwa na wasomi wakutosha wa kisasa katika kila Kada na Eneo, Miradi ingekamilika kwa wakati,nadhani ila kasi yako ilikuwa ya aina yake,Jk mwenyewe alishindwa kwenda nayo.
hahaaaa sio kwamba ile ajali isingeonekana leo hii tungekuwa maskini kama sudan kusini.....
 
Elimu bure,reli ya kisasa,watumishi hewa,kudhibiti matumizi,kununua ndege mbili mpya,mapato kuongezeka.

Wewe unafikiri maendeleo ni kujenga barabara tu.
 
Mwaka unaisha tanzania ya viwanda haina hata msingi unaojengwa kwa ajili ya kiwanda cha pipi
utajenga viwanda bila wafanyakazi wenye weledi? siutaishia kuajiri wahindi na wasauz, watoto wasome sayansi ili waje kufanyakazi viwandani.
 
Mwezi wa 9 huu karibia mwaka unaisha, awamu ya tano imejenga km 7 tuu za barabara Nazi hazijaisha

1. Mwenge - Morocco 4km
2. Ghana uwanja was ndenge 2.7 km

Hii ndio miradi pekee mipya ya barabara chini ya awamu ya mwendokasi. bado miaka 4.[emoji12]

Vipaombele vyake ni kuwaminya wapinzani, kuhamia Dodoma, kuwalazimisha walimu kushiriki mbio za mwenge na agizo la RC wake kuwataka watu wabandike picha ya rais!

Akishatekeleza hayo uchumi utapanda na atayainua sana maisha ya watanzania!
 
EL mwenyewe kahojiwa na kukubali utendaji wa JPM, nyie pigeni parapanda tu hapo.

Kumbukeni kulikuwa na madeni ya wakandarasi zaidi ya 1tr, na jamaa anawalipa wote taratibu lakini kwa uhakika.
 
Tunashughulika na Lissu kwanza, tukishamfunga jela tutarudi kwenye ujenzi wa barabara na viwanda. Endeleeni kuvuta subira.
 
Hata michango ya LAPF tangu april-june kuna baadhi ya watu hawajaingiziwa.
Wamepeleka za mtumishi.
 
HAKIKA KIKWETE ALIKUWA KICHWA SANA "TUTAMKUMBUKA SANA"->aliwahi sema kusema ni jambo lingine na kutenda ni jambo lingine...!
 
Ni mapema mno kuanza kutoa takwimu za kuponda. Binafsi naona mkuu anafanya kazi nzuri ila tu pale kwenye kubinya maoni ya watu na majumuiko ya kisiasa ndo kachepuka kusiko. Otherwise akitulia maendeleo mazuri huenda yakaja.
 
Elimu bure,reli ya kisasa,watumishi hewa,kudhibiti matumizi,kununua ndege mbili mpya,mapato kuongezeka.

Wewe unafikiri maendeleo ni kujenga barabara tu.
elimu bure imefeli, reli haijaanza, watumishi hewa maneno matupu, kununua ndege sio kipaumbele na wala Galina msaada kwa nchi hii labda angejenga viwanja vya ndege, Sena jingine ...
 
elimu bure imefeli, reli haijaanza, watumishi hewa maneno matupu, kununua ndege sio kipaumbele na wala Galina msaada kwa nchi hii labda angejenga viwanja vya ndege, Sena jingine ...
Budget ya mwaka huu wa fedha ilianza miezi mingapi iliyopita? Hujaona Dodoma airport ikijengwa?
 
Mlimpigia kura leo hii wote mnamgeuka aiseee
 
Yupo busy anapambana na upinzani anakuambia ni yeye tu aliye juu ya Katiba na Sheria ana ruhusa kufanya mikutano ya hadhara na ni marufuku maandamano ya kudai haki. UKUTA itakuwa msumari wa mwisho katika kutekeleza ahadi zake!

Maana kutokana na jinsi atavyowakabili UKUTA budget ijayo itakosa ufadhili wa donor countries. Na jinsi alivyo mbabe wa kuendesha nchi kishuleshule adhabu haitaishia hapo, atapigwa vikwazo pia vya biashara. Talk of one man show...
 
Eli79, tuambie ni Bunge lipi lilipitisha ujenzi ule? Ujenzi ule nje ya mipango inayosimamiwa na Bunge hauhesabiki!
 
Pia amerudisha nidhamu katika Utumishi wa Umma.. Na Kuna ndege mbili zinakuja.. Kuokoa Fedha za Utumishi wa Umma si jambo dogo
 
Back
Top Bottom