Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
Screenshot_2024-01-21-12-50-20-712_com.whatsapp~2.jpg
Screenshot_2024-01-21-12-50-30-036_com.whatsapp~2.jpg
Screenshot_2024-01-21-12-50-43-703_com.whatsapp~2.jpg
Screenshot_2024-01-21-12-50-39-674_com.whatsapp~4.jpg
 
Mtavurugwa kinoma. Ila wala hajakuacha bali anakutishia. Ila kama ana-gut ya kukutukana hivyo we mshukuru Mungu tu maana hicho kikombe hukiwezi. Ila broo na wewe acha zongwa, wengine wamehonga gari, we mafuta tu yanakushinda?
 
Back
Top Bottom