Mwaka umeanza vibaya, Mwanamke ameniacha, Haina shida nashukuru Mungu tu

Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Huyo ungekuwa nae karibu angekupiga, sio kwa maneno hayo. Mwanamke anakuwaje na mdomo kiasi hicho aisee.
 
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Hivi mnafanyafanyaje mpaka wanawake wanawaacha?

Sisi wengine mpaka tunawakinai tunatamani watuache lakini wametung'ang'ania tu kama Super Glue hawataki kutuacha.
 
20240113_131451.jpg
 
Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.

Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491
Ngoja nimsaidie kukuporomoshea matusi mwanaume wewe Malaya mkubwa usiye na haya unakaa na mtoto wa kike wa mtu miezi sita bila kuonyesha nia ya kuoa au kupeleka Posa Kwa wazazi wake mzinzi mkubwa wewe

Nampongeza sana huyo Mwanamke kukuacha Sema mimi dictionary ya matusi Iko mbali Ingekuwa karibu ningekushushia matusi ya nguoni wewe mleta mada Hadi ukome
 
Back
Top Bottom