Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,673
- 42,355
Huyo ungekuwa nae karibu angekupiga, sio kwa maneno hayo. Mwanamke anakuwaje na mdomo kiasi hicho aisee.Huyu dada nimekuwa naye kama miezi 6 sasa. Siku zote alikuwa mstaarabu sana.... Siku za karibuni nlianza tu kuona nakosa hisia kwake. Sababu mahitaji yake yalikuwa yanazidi kila siku.
Leo ameamua kuniacha. Kaniacha katika kipindi ambacho namwitaji sana kutokana na hizi mvua na hali ya hewa.
View attachment 2878487View attachment 2878489View attachment 2878490View attachment 2878491