Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,545
- 2,177
Nilikuta halmashauri zina hali mbaya sana kwenye usimamizi wa mapato.
Maswa ilikuwa imekusanya 39% ya lengo, leo imefika 120%.
Mapato kwa miradi ya maendeleo Bariadi Mji mlitekeleza 30% leo mmefika 99%.
Itilima iliyokuwa kundi la halmashauri duni nchini kwa kukusanya chini ya 1bn, leo imekusanya 1.4bn.
Kesho nitamalizia Busega na Bariadi vijijini tuone CAG anaonesha nini.
Naamini kote kuna mabadiliko makubwa " RC- Kafulila leo Juni27, 2022 baada ya vikao vya hoja za CAG kwa halmashauri za Maswa na Bariadi Mji baada kumaliza vikao hivyo kwa Meatu na Itilima Juni25, 2022.
#Mimi Jabali niko tayari kuhesabiwa siku ya tarehe 23|08|2022,Wewe Je?