Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Kama Kuna siku ambazo ni mbaya basi ni siku Kama ya kesho! Ni mwaka mmoja unatimiza kesho bila Wewe kuwepo. Siku ile ilikua mbaya Sana Sana, sitakaa niisahau kwa namna yoyote ile. Kama Kuna mkono wa mtu kwenye ajali ile Mungu atailipia damu yako. Tunaendelea na mapigano Kaka.