kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,032
- 10,254
Wakuu wa JF, nimeishi kwenye hii mikoa kwa miaka kumi sasa lakini nikiri kuwa sijawahi kushuhudia baridi ya kiwango cha mwaka huu yaani upepo balaa baridi yenyewe hatari.
Jana nyuzi joto ni 22c lakini hata leo hali ni hiyo hiyo hali ya hewa hii nimezoea kuona Iringa, Ruvuma na Mbeya kwa wale wataalamu nipeni mabadiliko hayo.
Asanteni
Jana nyuzi joto ni 22c lakini hata leo hali ni hiyo hiyo hali ya hewa hii nimezoea kuona Iringa, Ruvuma na Mbeya kwa wale wataalamu nipeni mabadiliko hayo.
Asanteni