U'great thinker' nausikia kwenye redio...labda nihamie huko....Great thinker...
weka takwimuKama wewe ni Great thinker utanielewa sana.
Takwimu zinaanzia humu humu jamvini
Kwenye wizi tuMuwe mnatazama sana Strategic moves za CCM ni chama chenye weledi wa hali ya juu sana
Kwa mujibu wa ndugu Humphrey Polepole. Kundi la wanamtandao likiongozwa na Jk ndiyo waliopanga njama za kumua ndugu JOHN POMBE MAGUFULIKwa wenye kumbukumbu mtakumbuka.
Jana akiwa Morogoro alisema Morogoro ya viwanda inarudi ! Muulize viwanda vipi huwa anamaanisha?Kwa wenye kumbukumbu mtakumbuka.