I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 509
- 839
Ni kweli kabisa, Wafe wote katika hizi siku za usoni.Kwema Wakuu!
Mwaka 2017 siku moja bàada ya Lisu kupigwa mvua ya risasi niliandika makala niliyoipa kichwa "Tundu Lisu katika Tundu la Simba" Lisu akiwa mahututi hajitambui niliandika makala hiyo huku nikilaana na kuwalaani wote walioshiriki kumpiga Lisu Risasi Wafe mapema zaidi kabla ya Tundu Lisu. Na Lisu awe shuhuda wa vifo hivyo vya adui.
Ninairenew ile laana, kwa maadui waliobakia kuwa Sio tuu Lisu ashuhudie vifo vyao bali wasifikishe umri wa miaka sitini. Kwa wale ambao wataomba msamaha moja kwa moja kwa Tundu Lisu laana hii haitawafika.
Maneno haya ni amini na kweli. Labda kama mimi sio Mtibeli.
Acha Nipumzike sasa