LOVI MEMBE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,122
- 183
Sasa anaposema jambo moja tu ambalo ccm hawawezi kufanya ni kuiachia ikulu ukawa ana maana ndo mpango wa goli la mkonoa au?
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.
Sio kushindwa ya kawaida alishindwa vibaya na mwanamke
sumaye ndio kampeni meneja wa lowasa huku alikatwa kwenye c.c ya c.c.m na pia alishindwa ujumbe nec...
Na Tambwe hiza je aliyeshika nafasi ya 7 kura za maoni ndo kampeni meneja wa Lowasa inakuwaje?
Mbowe aligombea urais akashindwa vibaya, lakini ndiye mwenyekiti wa kudumu CHADEMA. Too local
kwani mama yako ni mwanamme?
Bulembo ndio mpambe anayelazima kuwa lazima ccm ibaki madarakani kwa njia yoyote. Yaani ni mchochezi namba moja huko ccm.
Bulembo nimemdharau sana hili gamba, ananifanya nimdhara sana magufuli na team nzima ya kampeni ya magamba
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.