Mwaka 2010 Bulembo aligombea Udiwani akakosa

Mwaka 2010 Bulembo aligombea Udiwani akakosa

Halafu ni anaeneza sana chuki za kidini yeye na makamba. History itawahukumu
 
Wachana na hili debe shinda haliishi kutika! hâta biashara zake zote zimekufa ndio maana anajipendekeza kwa ccm kwa kufanya siasa matusi! Jitu zima hovyoooo!



Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.
 
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.
Aisee tulikula pesa yake duuuh hivi bado yupo huyu kiumbe.. .
 
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.

Bulembo hana sifa ya kuwa kiongozi hata wa nyumba 10
 
Aligombea kata ya kijitonyama akakosa,mgombea wa chadema.ndio aliyeshinda kata ya kijitonyama,kwa hiyo anajua vizuri mziki wa chadema

Kijana ulole ulole ndo aliyembwaga,huyo bulembo hata ujumbe wa nyumba kumi ashindi
 
Bulenbo ninae mfahamu ni kijana.alie kua Mara Reefer. Sio mwanasiasa. Mcheki mdomo. Wake ukiamwangalia. Umeka upande mhaya huyo. Ni kwa sababu ya Firimbi .
 
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.

Na Tambwe hiza je aliyeshika nafasi ya 7 kura za maoni ndo kampeni meneja wa Lowasa inakuwaje?
 
Ukawa kwenye kuanzia mgombea urais hadi wapembe wote ni walioshindwa na kukatwa
 
Bulembo kaishia darasa la saba.

TFF waliwahi kumzuia asiwe mgombea wa villa squad kwa sababu hakuwa na sifa ya elimu ya kidato cha nne.

Lofa sana anaropoka hovyo hovyo kama fisi maji.
 
Bulembo kaishia darasa la saba.

TFF waliwahi kumzuia asiwe mgombea wa villa squad kwa sababu hakuwa na sifa ya elimu ya kidato cha nne.

Lofa sana anaropoka hovyo hovyo kama fisi maji.

Wajameni nasikia ana masters degree ya political science Harvard university?
 
Si unaona hata Asumpta naye ameshindwa kura za maoni eti sasa ndo think tank ya magufuli, tusimlaumu sana mhe.anaposema Saddam ni rais wa Kuwait

ihi ni timu ya hajabu kabisa kutokea tangu ccm izaliwe, nandio timu ya mwisho kabisa kuipigia kampeni ccm kama chama tawala.
 
mwaka.2010 bulembo aligombea udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa ccm,da! Inashangaza sana,kwani ccm hawana washauri wazuri.

sumaye ndio kampeni meneja wa lowasa huku alikatwa kwenye c.c ya c.c.m na pia alishindwa ujumbe nec...
 
Anahangaika ili bint yake apate viti maalumu na baadaye Magufuli ampe u naibu waziri
 
waache usiwaamushe waendelee naye tu ili 25 October ushindi uwe zaidi ya asilimia 70+12%:A S 41:
 
Pengine wamefanya tafiti na kugundua kuwa ukiwapiga wananchi mkwara watampenda mgombea wao
Ila inaumiza sana
 
Back
Top Bottom