Mwaka 2010 Bulembo aligombea Udiwani akakosa

Mwaka 2010 Bulembo aligombea Udiwani akakosa

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Mwaka.2010 Bulembo aligombea Udiwani akashindwa lakini cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa CCM,da! inashangaza sana,kwani CCM hawana washauri wazuri.
 
Bulembo ndio mpambe anayelazima kuwa lazima ccm ibaki madarakani kwa njia yoyote. Yaani ni mchochezi namba moja huko ccm.
 
Mwaka.2010 bulembo aligombea udiwani akashindwa lkn cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa ccm,da! inashangaza sana,kwani ccm hawana washauri wazuri

...inategemea na limu aliyokuwa nayo ..... ni ya msingi
 
Bulembo nimemdharau sana hili gamba, ananifanya nimdhara sana magufuli na team nzima ya kampeni ya magamba
 
Hiv lile pengo hakuwai kuwa jambaz kwel..maana ccm.ni kichaka cha majambaz naafisad
 
Wanaamini hata aliye usingizini anaweza kusaidia.
 
Mwaka.2010 bulembo aligombea udiwani akashindwa lkn cha kushangaza ndie mtu anayempigia kampeni mgombea urais wa ccm,da! inashangaza sana,kwani ccm hawana washauri wazuri

Bulembo alishindwa udiwani 2010 kwa sababu bado alikuwa hajawa Fisadi. Jiandaeni mwaka huu ni Fisadi nyangumi sio papa!!!
 
Bulembo ndio mpambe anayelazima kuwa lazima ccm ibaki madarakani kwa njia yoyote. Yaani ni mchochezi namba moja huko ccm.
Mkuu msamehe bure kwani kwa elimu yake ya darasa la Saba ccm ikiondoka madarakani hana pa kwenda
 
Anajipendekeza tu ili wazazi na jumuiya yao wakiliamsha kuhusu ufisadi alioufanyia jumuiya hiyo wamlindelinde. Si ndio zao ccm kuyalinda majizi na mafisadi! Halafu polisi wanamwangalia tu anavyojiapiza na kuwajaza wapiga kura hasira bila kumkamata na kumshtaki as if ana kinga ya kutoshtakiwa. Magufuli bora uwe peke yako jukwaani hao wapambe wanakuharibia.
 
Back
Top Bottom