Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Maisha yao wale yanafanya tuonekane tumetokana na nyani.
Watu wanaishije kama wanyama wanaishi misituni na kula nyama mbichi. Utatawalaje dunia kwa namna ile?
Unajua hata ikija race nyingne ambayo watakuwa wameadvance zaidi katika technology watatuona sisi tunaishi kama nyani kama unavyosema wazee wetu waliishi kama nyani. Sababu walikuwa wanalima na wanajenga working tools nyani nao wanalima au ketengeneza silaha?
 
Sio kweli kwani dunia ingekuwa masikini sana. Mtu asiyejua kwenda na mda angekuwaje wa kwanza?
 
Sio kweli kwani dunia ingekuwa masikini sana. Mtu asiyejua kwenda na mda angekuwaje wa kwanza?
Ok
IMG_20200607_144104_357.JPG
IMG_20200607_144230_638.JPG
IMG_20200607_144119_998.JPG
images%20-%202020-06-07T140426.082.jpeg
 
Kuna kitu kinaitwa THE STOLEN LEGACY yani uzao wetu ulihamia pande zingine za ardhi waliiba urithi wetu na technologia zetu na kuharibu
Kumbe huu ni Utunzi wa kubuni wa kimizimu mizimu!

Hata hivyo ikiwa hawa waliohama na kwenda kwenkineko hawakuiba , bali walichukua sehemu ya urithi wako

Ki msingi ilikuwa ni elimu yao.
Lkini kwanini sisi tuliobaki hatukuweza kuendeleza na kusonga mbele?
Mbona hadi leo Wahadzabe na wamasai wanatumia local means of technology ? ikiwa haya ni makabila ambayo hayajapoteza sana ile asili yao?

sisi hamna kitu,
Hiyo story ya Kubuni na Uongo tuu
 
Kumbe huu ni Utunzi wa kubuni wa kimizimu mizimu!

Hata hivyo ikiwa hawa waliohama na kwenda kwenkineko hawakuiba , bali walichukua sehemu ya urithi wako

Ki msingi ilikuwa ni elimu yao.
Lkini kwanini sisi tuliobaki hatukuweza kuendeleza na kusonga mbele?
Mbona hadi leo Wahadzabe na wamasai wanatumia local means of technology ? ikiwa haya ni makabila ambayo hayajapoteza sana ile asili yao?

sisi hamna kitu,
Hiyo story ya Kubuni na Uongo tuu
Sisi tumejitosheleza
images%20-%202020-06-07T140246.924.jpeg
 
Kumbe huu ni Utunzi wa kubuni wa kimizimu mizimu!

Hata hivyo ikiwa hawa waliohama na kwenda kwenkineko hawakuiba , bali walichukua sehemu ya urithi wako

Ki msingi ilikuwa ni elimu yao.
Lkini kwanini sisi tuliobaki hatukuweza kuendeleza na kusonga mbele?
Mbona hadi leo Wahadzabe na wamasai wanatumia local means of technology ? ikiwa haya ni makabila ambayo hayajapoteza sana ile asili yao?

sisi hamna kitu,
Hiyo story ya Kubuni na Uongo tuu
,
IMG_20200607_155950_978.JPG
 
Walitupoka kwakuwa kulikuwa na wasaliti na kingine uislam na ukristu hatukulazimishwa historia inasema waliofata waliamua kuwaabudu miungu watu yani christianity-mzungu na islamic-arabs.

Na kitu kingine conflicts lead to slavery and collapse in africa ,not all heros or shango's used there power wisely and spiritually wengine walilalia sana kwenye uchawi na mizimu its very complicated.
Malalamiko yako yamelalia sana kwa wazungu kwamba walitutapeli lakini wewe kutwa unatumia lugha yao sasa sijui kama unajitambua alafu kama umewahi kuisoma bible mbona hakuna sehemu inayo wataja hao wazungu? kwanamna yoyote!
 
Inawataja wakina nani?
Niongee kilugha ndo uelewe?
Tatizo lugha tatizo mawasiliano?
Malalamiko yako yamelalia sana kwa wazungu kwamba walitutapeli lakini wewe kutwa unatumia lugha yao sasa sijui kama unajitambua alafu kama umewahi kuisoma bible mbona hakuna sehemu inayo wataja hao wazungu? kwanamna yoyote!
IMG_20200607_160839_654.JPG
 
Sina maana ya kubisha.
Ila haya mambo uliyoyaandika ni mazito ilibidi yasindikizwe na ushahidi za kihistoria.

Ninamaanisha je, haya hayakuandikwa popote?
Kama hayakuandikwa popote wewe umeyatoa wapi?
kuhusu asili ya mwanadamu kwamba alikua mweusi thats a fact, iwe kwa kutumia biblia au sanyansi bado weusi ni msingi.......


jaribu hii experiment, chukua rangi zote unazozijua zichanganye (kwa kipimo sawa) then angalia matokeo yake...... ikiwepo nyeusi basi mchanganyo wote utakua mweusi!


in fact, mtu mweusi ana nasaba za rangi zote, na hakuna rangi nyingine yenye uwezo huo!..... weusi ndio baba wa ulimwengu, kila rangi ilitoka kwenye dna ya mweusi!
 
WAMELETA MAJANGA HAYO HALAFU WAKAMWACHA JESUS WAO HAPO KATI THIS IS HOW THEY LOST OUR MEMORY AND MADE AFRICAN GENERATION BECOME MENTAL SLAVE TO THERE CULTURE,
IMG_20200607_160233_692.JPG
IMG_20200607_160222_261.JPG
 
Haya! I think you meant this

[SUB]View attachment 1470953[/SUB]

Utaona Tanzania Ngaloba na Ndutu huku Ethiopia ikiwa na Hierto, Omo Kibish na Bodo.
Sijamuona hapo Zinjanthropus.

I meant this "hamna uwezekano wa record ya Zinjanthropus ikavunjwa kama wakitokea wakagundua fuvu lingine? Kama Zinjanthropus alivyovunja records za wale wa China ambayo kwa miaka zaidi ya 40 watu waliamini walikuwa binadamu wa kwanza?"
 
Kweli Paula siamini katika siasa za kale! Ninaposema 'naihusudu' sayansi ni kuipenda.

Naamini yupo aliyeniumba kwa sababu sikutokea tu ni sawa na simu niitumiayo yupo someone behind it, haikutokea tu! ndivyo ilivyo kwa mwanadamu yupo muumbaji nyuma. Elon Musk robot zake zikifika Mars basi yeye ndiye Mungu wa hizo roboti.

Paula jaribu kufahamu na kutenganisha Mungu na dini (Siasa za kale).
The Big Bang theory unaijua? Kama huu ndio chanzo cha binadamu kuna kuumbwa hapo?
 
Paula unaihifahamu anka
Soma hizi nipe mtazamo wako maana mimi naikubali asili yangu na si vinginevyo
Sijamuona hapo Zinjanthropus.

I meant this "hamna uwezekano wa record ya Zinjanthropus ikavunjwa kama wakitokea wakagundua fuvu lingine? Kama Zinjanthropus alivyovunja records za wale wa China ambayo kwa miaka zaidi ya 40 watu waliamini walikuwa binadamu wa kwanza?"
IMG_20200607_174045_158.JPG
IMG_20200607_174010_359.JPG
IMG_20200607_174031_432.JPG
IMG_20200607_144104_357.JPG
IMG_20200607_144230_638.JPG
 
Sijamuona hapo Zinjanthropus.

I meant this "hamna uwezekano wa record ya Zinjanthropus ikavunjwa kama wakitokea wakagundua fuvu lingine? Kama Zinjanthropus alivyovunja records za wale wa China ambayo kwa miaka zaidi ya 40 watu waliamini walikuwa binadamu wa kwanza?"
Zinjanthropus ndio yupo eneo la Ngaloba hapo!

Tayari rekodi imevunjwa na huyo wa Ethiopia
 
Back
Top Bottom