Nionyeshe wapi ? Mimi sijapaona.Nimeshajibu juu
Mwanadamu ana umba ? Mungu wako ni mkamilifu au kinyume chake ? Mwanadamu ni mkamilifu au kinyume chake ?
Anunnaki ni viumbe kama walivokuwa binadamu wakiwa katika dunia nyingine (Another Dimension).Mkuu hivi annunaki unawazungumziaje?maana picha ya dunia kwangu inaanza kukamilika
Archaeologists waliyatoa wapi?Kupitia archaeologists
Anunnaki sio the watchers wa dunia yetu?maana nacho fahamu mmoja aliwahi kusema "we are human being descendants "Anunnaki ni viumbe kama walivokuwa binadamu wakiwa katika dunia nyingine (Another Dimension).
Utofauti wao na binadamu wao wapo mbele zaidi katika sanaa, sayansi, teknolojia na masuala mbalimbali.
*Na sio complicated kama walivokuwa binadamu*
Wewe ambaye huna utumwa wa fikra au una akili huru unadhani tofauti yako na mimi ni ipi?.Au kuandika vitu vyakuokoteza uko kwenye mitandao ndo kwako unaona ndo ukweli.Maisha ya bara la afrika yako wazi toka enzi na enzi hakuna haja yakuunga unga historia zilizoandikwa na watu kwa interest zao.Tena bora useme mwafrika ataenda kua bora uko miaka ijayo ila sio alikua bora alafu akarubuniwa tena kiasi chakumfanya ashindwe kurudi alikokua.Kwahiyo wewe ndo umerubuniwa.Watumwa wa fikra ambao mpo indoctrinated na brainwashed ambao mmekulia kwenye formal education hampo skeptical hata mawazo huru mnakuwa masomaniac jaribu kushirikisha bongo PERIOD.
Tofauti yangu mimi na wewe ni kuwa wewe unatawaliwa mimi najitawalaWewe ambaye huna utumwa wa fikra au una akili huru unadhani tofauti yako na mimi ni ipi?.Au kuandika vitu vyakuokoteza uko kwenye mitandao ndo kwako unaona ndo ukweli.Maisha ya bara la afrika yako wazi toka enzi na enzi hakuna haja yakuunga unga historia zilizoandikwa na watu kwa interest zao.Tena bora useme mwafrika ataenda kua bora uko miaka ijayo ila sio alikua bora alafu akarubuniwa tena kiasi chakumfanya ashindwe kurudi alikokua.Kwahiyo wewe ndo umerubuniwa.
Kama hivyo ndivyo vipi akae ndani ya viumbe vyenye mapungufu wakati yeye ni mkamilifu, ukamilifu wake uko wapi hapo ? Kinyume chake ukiri kwamba hii maana ya "....within.... " hujaielewa kama ambavyo Wakristo hawakuelrwa ile kauli isemayo "....tukaumba mtu kwa mfano wetu... ", kisha wakadai kwa maana hii basi sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, walati huo huo wanasema Mungu ni Roho, ni kujichanganga juu ya kujichanganya.Ndio anaumba
Ni mkamilifu
Ni mkamilifu
According to my perception
"GOD IS POWER WITHIN CREATION"
Kama hivyo ndivyo vipi akae ndani ya viumbe vyenye mapungufu wakati yeye ni mkamilifu, ukamilifu wake uko wapi hapo ? Kinyume chake ukiri kwamba hii maana ya "....within.... " hujaielewa kama ambavyo Wakristo hawakuelrwa ile kauli isemayo "....tukaumba mtu kwa mfano wetu... ", kisha wakadai kwa maana hii basi sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, walati huo huo wanasema Mungu ni Roho, ni kujichanganga juu ya kujichanganya.
Jibu kwanza maswali yangu, kisha nijibu lako, tufate utaratibu.Wewe bila roho unaweza kuwa mtu?
Mwanadamu ana sahau,mwanadamu anahitaji msaada, mwanadamu haoni nje ya upeo wa macho yake, mwanadamu haijui kesho yake, haya yote yanaonyesha upungufu na kutokukamilika kwake.Mapungufu yapi?
Unapojenga hoja hivi kitoto walati upungufu tuko nao na unaonekana unaonyesha ya wazi ya kuwa Mungu wako si mkamilifu.Nani aliyekuambia Mungu anaumba venye mapungufu.
Hakuna roho bila mwili. Siwezi kuwa mtu, bali nitakuwa mfu.Swali langu nijibu.
Mwanadamu ana sahau,mwanadamu anahitaji msaada, mwanadamu haoni nje ya upeo wa macho yake, mwanadamu haijui kesho yake, haya yote yanaonyesha upungufu na kutokukamilika kwake.
Unapojenga hoja hivi kitoto walati upungufu tuko nao na unaonekana unaonyesha ya wazi ya kuwa Mungu wako si mkamilifu.
Kwanza nikuulize swali dogo, habari za Mungu wewe unazichukua toka wapi ?
Hakuna roho bila mwili.
Sija edit bali nimeweka ufafanuzi wa hicho kilicho tangulia, maana huwa hamachelewi luleti maana zenu, japokuwa hicho kilicho tangulia na ufafanuzi wake ni kitu kimoja.
Kuna swali nimekuuliza, nangoje jibu, habari za Mungu wewe unazitoa wapi ? Kwamba amejielezea mwenyewe kwamba yupo ndani yetu au wewe umehisi tu ?