Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Mwafrika ndio kiumbe wa kwanza ulimwenguni

Tatizo huna marejeo na picha huelezewa, lazima utueleze wenye picha hizo wao walizielezea vipi.
Picha ni kama ushahidi ama kumbukumbu,hakuna mwenye picha bali aliyepiga uhalisia ambao upo mpaka sasa ,kumbuka kuna wazawa hawa husaidia lugha na mengineyo na kuwapeleka wenzake sehemu za urithi na kuwapa ufahamu upya,je wewe ulitaka nani labda akuthibitishie na akupe maelezo gani?
 
Picha ni kama ushahidi ama kumbukumbu,hakuna mwenye picha bali aliyepiga uhalisia ambao upo mpaka sasa ,kumbuka kuna wazawa hawa husaidia lugha na mengineyo na kuwapeleka wenzake sehemu za urithi na kuwapa ufahamu upya,je wewe ulitaka nani labda akuthibitishie na akupe maelezo gani?
Naposema picha zinahiaji ithibiti ujue namaanisha, je unaweza kunithibitishia ya kuwa hizo picha zinaelezea uhalisia wa watu hao ? Kivipi na kwa lipi ?
 
Mfano hazielezei wewe unatumia kigezo gani kuthibitisha ?
Naposema picha zinahiaji ithibiti ujue namaanisha, je unaweza kunithibitishia ya kuwa hizo picha zinaelezea uhalisia wa watu hao ? Kivipi na kwa lipi ?
 
Kemetic isnt a theory kwani wazungu si walitukuta na customs zetu tena walirudi baada ya kupata doctrines za maarifa toka huku huku.
I know you try to support and stick with you are own words, but always there is a difference between a word truth and Reality (Just like you are name).
 
Difference pls
I know you try to support and stick with you are own words, but always there is a difference between a word truth and Reality (Just like you are name).
 
Unaweza thibitisha ni wapi chain imekatika na ni kundi lipi itakuwa imehifadhiwa kulingana na mada husika?
Kwa yule wa kwanza. Na endapo chain ikikatika habari hiyo inawekwa katika kundi fulani.
 
Imetusaidia nn sisi kua wa kwanza? Ni kweli tulikau nyani sio?
 
Unaweza thibitisha ni wapi chain imekatika na ni kundi lipi itakuwa imehifadhiwa kulingana na mada husika?

Umeuliza swali la hovyo sana, kuna chain yoyote uliyo iweka hapa tangu uandike chochote humu, zaidi ya kutuwekea mapicha picha ?

Tangu nifatilie haya mambo ya kush hakuna kitabu hata kimoja kinaelezea habari hizi kwa "chain" zaidi ya masimulizi ya pauk pakawa.
 
Qur'an nafahamu ndo msingi wako na haupo tayari kuwa mislead maana ndo una amini huko kuna relevant chain kwahiyo sikushangai

Ungekuwa na akili ungetafuta kitabu cha kushite kemetic spiritual science au the stolen legacy kama nilivyo ainisha hapo juu,ili uweze kufollow hiyo chain au trend uliyokusudia,na kitu cha mwisho sio kila kitu hapa tunalishana na vijiko ifike mahala kila mtu atumie mkono wake ale mwenyewe kama ana njaa maana ushawekewa chakula mezani,kwahiyo ni uamue ule au usile.
Umeuliza swali la hovyo sana, kuna chain yoyote uliyo iweka hapa tangu uandike chochote humu, zaidi ya kutuwekea mapicha picha ?

Tangu nifatilie haya mambo ya kush hakuna kitabu hata kimoja kinaelezea habari hizi kwa "chain" zaidi ya masimulizi ya pauk pakawa.
 
Qur'an nafahamu ndo msingi wako na haupo tayari kuwa mislead maana ndo una amini huko kuna relevant chain kwahiyo sikushangai

Ungekuwa na akili ungetafuta kitabu cha kushite kemetic spiritual science au the stolen legacy kama nilivyo ainisha hapo juu,ili uweze kufollow hiyo chain au trend uliyokusudia,na kitu cha mwisho sio kila kitu hapa tunalishana na vijiko ifike mahala kila mtu atumie mkono wake ale mwenyewe kama ana njaa maana ushawekewa chakula mezani,kwahiyo ni uamue ule au usile.
Maana ya kuweka ushahidi ni kutuonyesha ukweli wa hilo unalo liegemea. Unapokosa chain katika masimulizi,kwenye jambo ambalo huwezi kuupata ukweli bila masimulizi hayo, na yakawa hayana chain ujue habari/masimulizi hayo/hiyo inakosa ukweli.

Nimekwambia ya kuwa nimepitia maandiko hayo sijaona hiyo chain na kitabu hicho nimekipitia jana tu hapa, sasa unaposema nipitie basi inabidi uniambie kama kuna kitabu kipya kimekuja kurekebisha habari za nyuma.
 
You are joking au?kitabu umekisoma unajua kina chapter ngapi?
Maana ya kuweka ushahidi ni kutuonyesha ukweli wa hilo unalo liegemea. Unapokosa chain katika masimulizi,kwenye jambo ambalo huwezi kuupata ukweli bila masimulizi hayo, na yakawa hayana chain ujue habari/masimulizi hayo/hiyo inakosa ukweli.

Nimekwambia ya kuwa nimepitia maandiko hayo sijaona hiyo chain na kitabu hicho nimekipitia jana tu hapa, sasa unaposema nipitie basi inabidi uniambie kama kuna kitabu kipya kimekuja kurekebisha habari za nyuma.
 
Back
Top Bottom