REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,963
- Thread starter
- #241
Anyway kasome hiki
Maana ya kuweka ushahidi ni kutuonyesha ukweli wa hilo unalo liegemea. Unapokosa chain katika masimulizi,kwenye jambo ambalo huwezi kuupata ukweli bila masimulizi hayo, na yakawa hayana chain ujue habari/masimulizi hayo/hiyo inakosa ukweli.
Nimekwambia ya kuwa nimepitia maandiko hayo sijaona hiyo chain na kitabu hicho nimekipitia jana tu hapa, sasa unaposema nipitie basi inabidi uniambie kama kuna kitabu kipya kimekuja kurekebisha habari za nyuma.