Mwafaka wa Umeya wa Arusha wapatikana

Nunua mouth pice la chama, Tanzania Daima la jana utapata khabari yake.

Kikwebo.

icon7.png
Bravo cdm!!!!!Hapo huo ndo ukomavu wa kisiasa coz hili la Arusha kule Kgm lilishafanyika woga wa nn? ili kujua uhondo wa ngoma shurti uingie ucheze ati!!! Makamu meya kaza buti kuibua uozo wa ndani ya arusha municipal pameoza hapo take note!!!!!
GO TO PEOPLE LIVE WITH THEM LEARN TRY TO CONQUER IF U FAIL JOIN!!!!!!!
icon1.png
 
Wadau wenzangu sasa vipi ile CD ya Lema ya Mauaji ya Arusha tutaendelea kuisambaza? Isije kuleta doa kwenye Ndoa ya CDM na CCM
 
icon7.png
Bravo cdm!!!!!Hapo huo ndo ukomavu wa kisiasa coz hili la Arusha kule Kgm lilishafanyika woga wa nn? ili kujua uhondo wa ngoma shurti uingie ucheze ati!!! Makamu meya kaza buti kuibua uozo wa ndani ya arusha municipal pameoza hapo take note!!!!!
GO TO PEOPLE LIVE WITH THEM LEARN TRY TO CONQUER IF U FAIL JOIN!!!!!!!
icon1.png

Wamefanya la maana wana plan B kama ujuavyo Chadema hawakurupuki,nadhani Mwenyekiti au Katibu Mkuu watawajibika kuja kututembelea kuelezea kwa undani maelezo ya Kamati ya usuluhishi ya madiwani na kutupa plan yao watakavyotekeleza majukumu yao kwenye huu mfumo
 
Fazili Mbowe ni Mwenyekiti na sio diwani wala meya, jamaa na mimi na yule pale tunajua yale maandamano yaliogharimu uhai wa wasio na hatia yalikuwa na dhamira ya kurejewa uchaguzi wa umeya kwani haukufuata utaratibu! Sasa matokeo yake CCM wamewasoma wakajua hamna lolote nyie macho "kumchuzi" yaani kelel zote mnataka ukubwa wakawapa ukubwa mkaingia kwenye mtego wa "mwafaka" maarufu kama mnavyouita "kuolewa na ccm" lakini kwa kuwa mmeolewa nyie hamsemi mnakuja juu kama moto wa kivuu. Ingejirudia kwa ule upande mwingine au ingekuwa ni TLP sipati picha watu wangechangiaje? "mrema kibaraka" and so on.

Well wafiwa bado wanauguza machungu cdm wameshasahau wanajifariji na umeya. Pipooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz

Jana Kwenye Kipindi cha Makwaiya Seif alikuwa na jino pembe akifurahia kuolewa na CCM,kwa undani kabisa alisema mambo ya bara hayawahusu kwa sasa na hawataki waingiliwe kwenye mipango yao,na kwamba wanatekeleza mipango ya serikali kwa kuunganisha ilani ya CCM na CUF ,sasa utalinganisha vipinafasi ya CCM na CUF na Chadema kila conflict hapa dunia inafikiwa kwa majadiliano na uamuzi wa mwisho Kwa jinsi baraza la halmashauri ya Arusha lilivyo hakuna mahala CCM itaweza kuwaburuza chadema kufanya chochote kwa sababu kamati zinaogozwa na vyama vyote
 
Sasa tumewapata ccm - c arusha , baada ya ccm- b zanzibar ! Shame on u chadema ! Kunya anye kuku eeenh ?
 
Jana Kwenye Kipindi cha Makwaiya Seif alikuwa na jino pembe akifurahia kuolewa na CCM,kwa undani kabisa alisema mambo ya bara hayawahusu kwa sasa na hawataki waingiliwe kwenye mipango yao,na kwamba wanatekeleza mipango ya serikali kwa kuunganisha ilani ya CCM na CUF ,sasa utalinganisha vipinafasi ya CCM na CUF na Chadema kila conflict hapa dunia inafikiwa kwa majadiliano na uamuzi wa mwisho Kwa jinsi baraza la halmashauri ya Arusha lilivyo hakuna mahala CCM itaweza kuwaburuza chadema kufanya chochote kwa sababu kamati zinaogozwa na vyama vyote

Ni kweli amesema kuwa wanaangalia jinsi ya kutekeleza ilani zao kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wao nadhani hilo ndio la kulizungumza. CUF walikuwa wanataka kuwatumikia wananchi kuleta maendeleo ndio maana hawataki kuwa kwenye serikali halafu wapinge mambo ya maendeleo kwa wananchi wao wanataka historia isije kuwahukumu vibaya mbele ya safari. Sasa nyie mliokubali kuwa manaibu meya unataka kuniambia yule meya wa CCM akifanya la maendeleo nyie hamtamuunga mkono mtalizuia? sasa ikiwa ndio hivyo mnafaida gani na wanaarusha?

CCM C imezaliwa tungoze D, E, F mpaka Z maana mlichonga sana hapa leo mmeumbuka mnakuja na mautetezi yasiyo na vichwa wala miguu. Muafa ni mwafaka tu uwe wa CCM na CUF au wa CCM na CDM.
 
Ni kweli amesema kuwa wanaangalia jinsi ya kutekeleza ilani zao kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wao nadhani hilo ndio la kulizungumza. CUF walikuwa wanataka kuwatumikia wananchi kuleta maendeleo ndio maana hawataki kuwa kwenye serikali halafu wapinge mambo ya maendeleo kwa wananchi wao wanataka historia isije kuwahukumu vibaya mbele ya safari. Sasa nyie mliokubali kuwa manaibu meya unataka kuniambia yule meya wa CCM akifanya la maendeleo nyie hamtamuunga mkono mtalizuia? sasa ikiwa ndio hivyo mnafaida gani na wanaarusha?

CCM C imezaliwa tungoze D, E, F mpaka Z maana mlichonga sana hapa leo mmeumbuka mnakuja na mautetezi yasiyo na vichwa wala miguu. Muafa ni mwafaka tu uwe wa CCM na CUF au wa CCM na CDM.
Tunaangalia alichosema Makamba,Wasirra,Mkuchika,na Chatanda,na Estomi Chanq'a mkurugenzi wa sasa wote walisema uchaguzi umekwisha viongozi waliochaguliwa wanatosha lakini ukiangalia mwenyewe hizo kauli ndio matokeo yake au wewe unageuzia kibao Chadema wakati kuna watu wengine waliapa wakala moto wakasema hawatakaa na chadema ,think twi ce Mohd sio ushabiki tuu wakutaka kujustify malengo yako ya upotoshaji
 
Kutokana na hali tete ya hukumu ya Lema vs pinda bungeni, Bunge liliitisha ushahidi wa kanuni za uchaguzi
wa meya na kujua kama CDM walisaini Akidi ya kikao, walipiga kura, Waliandikiwa barua za kuitwa kwenye kikao
cha uchaguzi na mengineyo, Hapo mapungufu hayo yalipobainika serikani wakaomba kukaa meza moja na kutafuta
muafaka kwa ahadi lukuki. Na walitaka muafaka ufanyike kamanda Lema akiwa hayupo ili waweze kushawishi makubaliano.

Ushahidi wa serikali ku support kauli ya PM Pinda ulikuwa mgumu sababu kasoro zilikuwa ni nyingi sana, na mpaka leo Bunge
lina ki gugumizi kutoa kauli kwa visingizio suala la mauaji liko mahakamani, si kweli suala lililoko mahakamani ni kufanya kusanyiko
bila kibali. Pia ushahidi wa polisi pia ulikuwa na kasoro nyingi kiasi PM kuwa katika hali tata suluhisho ni kutafuta namna ya kuruka
kihunzi na sio kutembea maana angejikwaa.

Maridhiano si njia muafaka ya Demokrasia haswa ukizingatia ni chama tawala kubaka demokrasia na kukimbilia meza moja ilhali
iendelee kuwepo kutawala. Kwa suala la Arusha hata kama mgogoro usingekuwepo kulikuwa na sababu tu ya kugawana madaraka maana pande zote sinahodhi nusu kwa nusu, hivyo hakuna ambaye angeweza kutoa maamuzi bila ya kukubaliana na mwenziwe ila sheria na kanunu
zilitakiwa zifuatwe.

Nawakilisha
 
Hakika Mhe Mbowe una kesi ya kujibu...tena majibu ya msingi yatakayoturidhisha wananchi wa Arusha na Wapenzi wa Chadema.
Tumesikia Muafaka umepatikana khs Meya wa Arusha tunafurai ni jambo jema kwetu lkn pia tumesikia kulikuwa na majadiliano ya siri yakiendelea kati ya Mbowe na Pinda na hatimaye kufikia muafaka huo wa Arusha hapa sasa ndipo Shaka ilipo. Wakati BAVICHA-ARUSHA wakifanya maandalizi ya maandamano mengine kupinga Uchaguzi wa meya huyo, kwa bahati nzuri tukasikia maandamano hayatakuwepo
 
Muafaka umeshapatikana. Inamaana hata BAVICHA-ARUSHA walikuwa hawafahamu juu ya haya majadiliano yenu. Kama muafaka huu ni kwa manufaa ya wananchi kwanini Majadiliano hayo yalikuwa ya siri kubwa? Tunahitaj majibu Mhe Mbowe....otherwise Cdm itakufa kibudu kama Cuf
 
Hujui unachoandika au, waliotoa tamko la kusitisha maandamano ni BAVICHA Arusha , sasa unaongea kuhusu nini?
 
Hakika Mhe Mbowe una kesi ya kujibu...tena majibu ya msingi yatakayoturidhisha wananchi wa Arusha na Wapenzi wa Chadema.
Tumesikia Muafaka umepatikana khs Meya wa Arusha tunafurai ni jambo jema kwetu lkn pia tumesikia kulikuwa na majadiliano ya siri yakiendelea kati ya Mbowe na Pinda na hatimaye kufikia muafaka huo wa Arusha hapa sasa ndipo Shaka ilipo. Wakati BAVICHA-ARUSHA wakifanya maandalizi ya maandamano mengine kupinga Uchaguzi wa meya huyo, kwa bahati nzuri tukasikia maandamano hayatakuwepo

Mwanaharakati bora umuombe Malaria Sugu akupe mafunzo kidogo. Yaani hili suwala ushalileta katika thread tatu sasa. Tunashindwa tukujibu nini tena iwapo tumeshajaribu sana kukueleza kuwa hiyo ndio siasa kwani hata vita navyo vina makubaliano.
 
kwa hapa naungana na Mbowe. kwani ccm ilikuwa hali mbaya. migogoro ya ccm lkn kubwa zaidi tutakuwa na muda kulikomboa jimbo hilo. hongera mbowe kwa hili
Sidhani hata kama lilikuwa linawafikirisha. ukitaka kujua hilo uliza yaliyowapata CUF kule zenji. uzi ule ule chadema kama CUF. Tunahitaji nguvu ya zaida kuwatokomeza hawa wajamaa.
 
Hakika Mhe Mbowe una kesi ya kujibu...tena majibu ya msingi yatakayoturidhisha wananchi wa Arusha na Wapenzi wa Chadema.
Tumesikia Muafaka umepatikana khs Meya wa Arusha tunafurai ni jambo jema kwetu lkn pia tumesikia kulikuwa na majadiliano ya siri yakiendelea kati ya Mbowe na Pinda na hatimaye kufikia muafaka huo wa Arusha hapa sasa ndipo Shaka ilipo. Wakati BAVICHA-ARUSHA wakifanya maandalizi ya maandamano mengine kupinga Uchaguzi wa meya huyo, kwa bahati nzuri tukasikia maandamano hayatakuwepo

Mwanaharakati unatumia ngucvu nyingi sana kujaribu kuibua mgogoro kuhusu muafaka huo. Kwanza ujue watanzania wanakitazama CDM kwa macho mawili kutokana na propaganda chafu za CCM kuwa ni chama cha fujo. Hivyo kitendo cha kukubali kuingia katik amuafaka kuhusu jambo hilo ni ushindi mkubwa sana kwa CDM na wote wanaokitika mema. Watanzania nchi nzima wangeliishangaa sana CDM kukataa kufanya muafaka kuhusu suala la Meya, cheo ambacho kisipojazwa Halmashauri ya Arusha inaweza kuendelea kuwepo na kuwapatia wananchi wa Arusha huduma kama kawaida.

Watanzania hivi sasa wanaitegemea sana CDM kwa ajili ya kudai hgaki zao mbali mbali hivyo isingekuwa busara kungangania jambo moja wakati wote, ili mradi haki ya wanaarsha imeshapatikana japo ni katika mufaka. Ni lazima katika siasa tujue kuwa upo wakati itabidi ufanya "Give and Take"
 
Muafaka umeshapatikana. Inamaana hata BAVICHA-ARUSHA walikuwa hawafahamu juu ya haya majadiliano yenu. Kama muafaka huu ni kwa manufaa ya wananchi kwanini Majadiliano hayo yalikuwa ya siri kubwa? Tunahitaj majibu Mhe Mbowe....otherwise Cdm itakufa kibudu kama Cuf

Ndugu unaleta umbeya sasa. Umeanza kwa kusema umesikia .Endelea kusikia acheni Arusha watafute maendeleo mengine baadaye
 
hili swala la muafaka mbona lilishajadiliwa sana , nakushauri ungeendelezeza kwenye zile threads zilizotangulia
 
Wewe kazi yako ni kusikia huna hata uhakika then unakurupuka kupost upepo hutu.acha harakati za umbeya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom