Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Usikurupuke bro soma vizuri threadHujui unachoandika au, waliotoa tamko la kusitisha maandamano ni BAVICHA Arusha , sasa unaongea kuhusu nini?
Usikurupuke bro soma vizuri threadHujui unachoandika au, waliotoa tamko la kusitisha maandamano ni BAVICHA Arusha , sasa unaongea kuhusu nini?
Pamoja sana mkuu.Sidhani hata kama lilikuwa linawafikirisha. ukitaka kujua hilo uliza yaliyowapata CUF kule zenji. uzi ule ule chadema kama CUF. Tunahitaji nguvu ya zaida kuwatokomeza hawa wajamaa.
PointlessNdugu unaleta umbeya sasa. Umeanza kwa kusema umesikia .Endelea kusikia acheni Arusha watafute maendeleo mengine baadaye
hakika mhe mbowe una kesi ya kujibu...tena majibu ya msingi yatakayoturidhisha wananchi wa arusha na wapenzi wa chadema.
Tumesikia muafaka umepatikana khs meya wa arusha tunafurai ni jambo jema kwetu lkn pia tumesikia kulikuwa na majadiliano ya siri yakiendelea kati ya mbowe na pinda na hatimaye kufikia muafaka huo wa arusha hapa sasa ndipo shaka ilipo. Wakati bavicha-arusha wakifanya maandalizi ya maandamano mengine kupinga uchaguzi wa meya huyo, kwa bahati nzuri tukasikia maandamano hayatakuwepo
Acha fikra mgando wewe iweje baada ya muafaka ndio tuambiwe kulikuwa na majadiliano ya siri. Fumbukaulitaka mazungumuzo yafanyikie kwenye uwanja wa shekh amri abeid? Umetumwa na n.e.p.i wewe.
Unapungwa upepo au unasikiliza redio Tanzania?Mkimaliza kubishana mtaniita niko kibarazani hapa nje
Contradiction is the source of Development. Usiogope kutofautiana.Mkimaliza kubishana mtaniita niko kibarazani hapa nje
Nadhan kitu cha msìngi ni kuangalia maridhiano kati yao kama yana kidhi haja ya wadhirika (Watanzania) wala si usiri wao, tufahamu kwamba there are things to succeed nids secrecy bt shld adhere atleast prìncplfs of transparency !! BUT ARUSHA- BAVICHA walisema NO mandamano coz kulikuw na source from Mr F.M -Kijana Jenga hoja kufuata Facts na sio HisiaMwanaharakati unatumia ngucvu nyingi sana kujaribu kuibua mgogoro kuhusu muafaka huo. Kwanza ujue watanzania wanakitazama CDM kwa macho mawili kutokana na propaganda chafu za CCM kuwa ni chama cha fujo. Hivyo kitendo cha kukubali kuingia katik amuafaka kuhusu jambo hilo ni ushindi mkubwa sana kwa CDM na wote wanaokitika mema. Watanzania nchi nzima wangeliishangaa sana CDM kukataa kufanya muafaka kuhusu suala la Meya, cheo ambacho kisipojazwa Halmashauri ya Arusha inaweza kuendelea kuwepo na kuwapatia wananchi wa Arusha huduma kama kawaida.Watanzania hivi sasa wanaitegemea sana CDM kwa ajili ya kudai hgaki zao mbali mbali hivyo isingekuwa busara kungangania jambo moja wakati wote, ili mradi haki ya wanaarsha imeshapatikana japo ni katika mufaka. Ni lazima katika siasa tujue kuwa upo wakati itabidi ufanya "Give and Take"
Wakuu,
Kwa miezi kadhaa Mkoa wa Arusha umekuwa katika mgogoro uliosababishwa na uchaguzi wa Meya na naibu meya kupingwa kwa kuwa inasemekana ulikiuka kanuni za uchaguzi. Jambo hili lilipelekea umwagaji wa damu na hata kufunguliwa kwa kesi kwa baadhi ya makamanda wa chadema.
Hivi majuzi hatimaye suluhisho la mgogoro huo lilipatikana kwa kufikia makubadiano ya kugawana madaraka. Je, hii yaweza kuwa janja ya ccm kupunguza kasi ya chadema Arusha kama ilivyofanya kwa Cuf Zanzibar?