jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,362
MVULANA AMNYONYA MATITI MSICHANA KANISANI
Nilikuwa kanisani, kuna mvulana na msichana walikaa jirani na mimi. Nikapigwa na butwaa kuona msichana anavuta blauzi yake na baadae sidiria na mvulana kuanza kunyonya chuchu utadhani hakuna watu waliokuwa wanawatazama, msichana alikuwa na miaka 28 na mvulana miezi 3.
Ahsante kwa kusoma,
Mungu akusamehe kwa mawazo yako machafu na potofu!
Nipo nyumbani kibiti, njoo unipige!
Nilikuwa kanisani, kuna mvulana na msichana walikaa jirani na mimi. Nikapigwa na butwaa kuona msichana anavuta blauzi yake na baadae sidiria na mvulana kuanza kunyonya chuchu utadhani hakuna watu waliokuwa wanawatazama, msichana alikuwa na miaka 28 na mvulana miezi 3.
Ahsante kwa kusoma,
Mungu akusamehe kwa mawazo yako machafu na potofu!
Nipo nyumbani kibiti, njoo unipige!