Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

Naona unatupa chai mapema Mkuu, ila mvua ipo sio yakutisha Kama ulivyoelezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana ameuliza huko mtaani kwako Hali ipo vipi,? Kama kwako mvua haipo kubwa na kuna Hali nzuri, ilikuwa ni swala la kumfahamisha tu, sio kumuita muongo
Hizi mambo mtu a najaribu ku share nasi kiroho Safi situations fulan, halafu anaambulia kuambiwa ni Chai, mdogo mdogo zinawatoa watu makini kwenye mijadala.
Mwishowe tutatengeneza Jf, isiyo aminika Tena,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko Misugusugu nafanya Temeke. Usafiri sio changamoto kabisa. Kwa taarifa tu magari ya Mbezi Mlandizi huwa hayakatiki hata 9 ya usiku yapo
Duu mkuu mbona mbali? , si unatumia muda mwingi sana barabarani?, nipo Kiluvya ila siku ya kwenda mjini lazima nisue sue, mana naona parefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa zipo tayari kwa ujenzi wa daraja kuanzia Magomeni mapipa to fire kinachosubiliwa ni tenda kupatikana mkandarasi.
 
Eti mtu unakuta anaishi Sinza tena Mapambano ila anaandika uzi mvua kubwa inanyesha DSM na pwani yote tukikutukana utakasirika?
Msome Mtoa Mada vizuri ametoka kibaha , mbezi. Kimara ubungo hadi city center na mvua ilikuwa kubwa na kali, ndio akaanzisha uzi, na bado amekuua muungwana wa kuulizia Hali ya hapo ulipo ipoje sidhan kama amegeneralize, na sijaona Kosa la Mtoa mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE = "dingimtoto, chapisho: 34100851, mwanachama: 348030"]
Mvua ya Leo siacha kuachana na alfajiri hadi sasa
[/ QUOTE]

Picha za JANGWANI tafadhali
 
Mvua Leo Ni non stop Ni mwendo wa kukumbatia
Screenshot_20200116-084203.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
t blj,
Sasa hiyo sio pwani yote, kafika Kisarawe, Bagamoyo na Kilwa?
.
Huu ni ujinga huwezi kusema mvua inanyesha pwani yote na dar yote wakati kuna maeneo kibao hayana mvua ndio maana hata TMA husema mvua itanyesha mkoa fulani kwa baadhi ya maeneo sio kotee
 
Back
Top Bottom