MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
So will u....??
Hahaha...tukutane after 9 monthWakubwa wanafaidiiii....🙂🙂🙂
Huku bado, na maji yamejaa barabaraniImekata huku nilipo.....inabidi nianze mipango ya kutoka sasa duh.
Wakubwa wanafaidi.Mwenye mali yuko beside me ...lol
We aint goin anywhere
They deserveWakubwa wanafaidiiii....🙂🙂🙂
Niko Msata ila nimeshindwa kwenda Dar huko nje hakutokekiWana JF hivi hii mvua kubwa inayonyesha huku South Beach Dar inanyesha Dar nzima?
Mlioko barabarani naomba mtujulishe hali ya barabara maanake mji huu na mvua haviendani.
Unaaambiwa Ruvu soon haitapitikaHii mvua nimeisikia tangu saa saba usiku.
Ule ni mkondo asili wa maji, wote waliojenga pale sijui walishauriwa na nani including wavaa ndala na wale wa mabasi marefuMatokeo yake tutayaona jangwani. Chief umepita kote huko unasambaza magazeti?!
Ngoja ipunguze uchafu zikiwemo tunguli zisizo na faidaKukiwa na jua ukame bin njaa...ikinyesha mvua napo balaa! Sijui Mungu atatusaidia vipi!