MV Skagit

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
555879_177478882385559_1046089462_n.jpg



552274_330802630338387_1709000007_n.jpg
 
545529_331050060313644_2025509723_n.jpg



Meli ya Mv SKAGIT ikimalizikia kuzama jana katika eneo la Chumbe Zanzibar
 
Ni huzuni kubwa sana,sina hata la kusema, poleni sana wafiwa,waliotangulia mbele ya haki wapumzike kwa amani
 
Ee Mola wafariji wafiwa wote na majeruhi uwarejeshee afya zao.... Amen

Inatia uchungu sana
 
Hii picha imeharibu siku yangu. Inahuzunisha Sana.
Kwa uzembe wa watu wachache umefanya ndoto za watoto hawa ziyeyuke kama barafu juani. Tumepoteza pengine rais, waziri,mbunge au kiongozi hodari wa kesho hapa jamani.

Inauma sana, ngoja nifute machozi kwanza nitarudi baadaye nikipata nguvu.
 
huzuni sana..govt do smthin..hii inaonesha wazi kabisa we ddnt learn from the past accident
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom