Muungurumo mbaya wa gari na kuibiwa masega

Nyumisi

JF-Expert Member
Nov 10, 2010
13,405
19,069
Wakuu, leo asubuhi nimechukua gari yangu niliyokuwa nimeilaza kwenye parking moja ya kulipia. Cha kushangaza nimetembea njia nzima gari ina muungurumo mbaya na haina nguvu kama nilivyoizoea.

Kuna nyuzi zilishaletwa humu kuhusu gari kuibiwa masega na muungurumo kubadilika.

Je, kuna namna unaweza kugundua masega yameibiwa kwa kuangalia sehemu iliyokatwa? au kuna namna wanaweza kuyaiba bila kuacha alama yoyote?

Wajuvi karibuni kwa ufafanuzi.
 
Wakuu, leo asubuhi nimechukua gari yangu niliyokuwa nimeilaza kwenye parking moja ya kulipia. Cha kushangaza nimetembea njia nzima gari ina muungurumo mbaya na haina nguvu kama nilivyoizoea.

Kuna nyuzi zilishaletwa humu kuhusu gari kuibiwa masega na muungurumo kubadilika.

Je, kuna namna unaweza kugundua masega yameibiwa kwa kuangalia sehemu iliyokatwa? au kuna namna wanaweza kuyaiba bila kuacha alama yoyote?

Wajuvi karibuni kwa ufafanuzi.
Ni gari gani mkuu?

Kama gari yako ina O2 sensor baada ya masega usipoteze muda kwenda Kuchomea vibuyu vya kichina.

Nilishaleta Case kama hiyo ya Mitsubishi Outlander na soon nitaleta case zingine za Mercedes benz na VW Toureg.

Kama haina sensor all the best katika kutafuta namna ya kupunguza makelele.
 
Sijaona alama yoyote, huenda ni shida nyingine.
Siyo lazima wakate wachomelee. Wanaweza kuiba bila hata kufanya hivo...

IMG_20230505_123124.jpg


Mfano huyo mteja wangu gari yake ilitolewa masega na haikuchanwa popote pale.
 
Picha picha kwa chini (exhaust system) utaona imechomelewa maana lazima wakate kwanza waibe ndio wachomelee.
Siku hizi hawakati mkuu wanayachokonoa Hadi yananza kumwagika yenyewe Wame advance katika wizi ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom