Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,473
- 151,576
Wewe hujui Tanganyika ni nini na Mrima ni nini.Wewe ni mtanganyika ndio maana nikakwambia uisome historia ya taifa lako tanganyika,au unataka kunambia tanzania ndio iliyopigania uhuru?
Sasa hata unapoandika Tanganyika hueleweki unamaanisha nini.
Si mtu wa kuniambia nisome historia ya Tanganyika, wakati hujui hata Tanganyika ni nini.