Muungano unalindwa kwa nguvu

Muungano unalindwa kwa nguvu

Sasa mtu anayeishi Zanzibar miaka 10, tuseme dada yangu katoka Mwanza, ku apply u Zanzibari ana apply wapi? Idara ya uhamiaji ya Zanzibar iko wapi? Passport ya Zanzibar inatolewa wapi? UZanzibari una hati gani?

Maana Mwinyi kazaliwa Kivure mkoa wa Pwani, bara, na kaenda kuwa rais wa Zanzibar, na sijasikia yeye wala mtu mwingine yeyote alivyoomba uZanzibari kwa sifa ya kukaa Zanzibar miaka 10.
Watanganyika wengi(ukiwemo wewe) hawajui historia ya tanganyika yao,tofauti na wazanzibar wanaolinda historia ya nchi yao zanzibar,ushahidi wa haya nnayo kwambia hadi hii leo mzanzibar anajinasibu kwa uzanzibar wake tofauti na mtanganyika anaona matusi kumuita mtanganyika.
 
nipe kero za muungano mkuu usikae na kinyongo utapata vidonda vya tumbo tuelewane tu
Kero kuu ni kuwarejeshea wazanzibar uhuru wao ulioporwa kwa mtutu wa bunduki na manyang'au miaka ya 1964
 
Watanganyika wengi(ukiwemo wewe) hawajui historia ya tanganyika yao,tofauti na wazanzibar wanaolinda historia ya nchi yao zanzibar,ushahidi wa haya nnayo kwambia hadi hii leo mzanzibar anajinasibu kwa uzanzibar wake tofauti na mtanganyika anaona matusi kumuita mtanganyika.
Habari za nchi na taifa (mbali na kabila) ni habari tulizoletewa tu na wageni, zimeanza katika mkataba wa Westphalia, baada ya kile kilichoitwa "Vita vya Miaka 30" huko Ulaya.

Vita ilipiganwa kati ya mwaka 1618 mpaka mwaka 1648.

Wakati wewe unataka kuniambia sijui historia ya taifa la Tanganyika, mimi nakueleza wewe kuhusu historia ya wazo la taifa.

Hiyo ndiyo tofauti yako wewe na mimi.

 
Hujajibu kuishi mfululizo ni nini wala Mzanzibari ni nani.
Punguza pumba mazee,mkoloni mweusi anaupoteza utaifa wa mzanzibar kisha anauliza mzanzibar ni nani?mbona huulizi mtanganyika ni nani?
 
Punguza pumba mazee,mkoloni mweusi anaupoteza utaifa wa mzanzibar kisha anauliza mzanzibar ni nani?mbona huulizi mtanganyika ni nani?
Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind - Albert Einstein.
 
Habari za nchi na taifa (mbali na kabila) ni habari tulizoletewa tu na wageni, zimeanza katika mkataba wa Westphalia, baada ya kile kilichoitwa "Vita vya Miaka 30" huko Ulaya.

Vita ilipiganwa kati ya mwaka 1618 mpaka mwaka 1648.

Wakati wewe unataka kuniambia sijui historia ya taifa la Tanganyika, mimi nakueleza wewe kuhusu historia ya wazo la taifa.

Hiyo ndiyo tofauti yako wewe na mimi.

Hizi link hata ww unaweza kubuni yako ukaweka,narejea tena soma historia ya taifa lako tanganyika mliopigania uhuru miaka ya 1961
 
Nationalism is an infantile disease, it is the measles of mankind - Albert Einstein.
Mkuu kwani wewe si unajinasibu kuwa mtanzania?kwann inakuwa nongwa kwa mzanzibar kujinasibu kwa uzanzibar wake?au ni roho mbaya tu
 
Huwa napenda kuanza majadiliano na definitions. Ili wote tujue na kukubaliana tunajadili nini.

Mathalani, mjadala huu anatajwa sana "Mzanzibari".

Nimeuliza hapa, Mzanzibari ni nani?

Jana nafikiri.

Mpaka leo sijaona jibu bado.

Kabla ya kujua "Mzanzibari" ni nani, uzi huu utatapatapa bila mjadala kuwa na muelekeo.
Mzanzibar ni mtu wa visiwani zanzibar na mtanganyika ni mtu kutoka mrima,saivi kuna wahamiaji haramu kutoka mrima hujifanya nao ni wazanzibar tena hukamata madaraka na kuanza kuwatawala wazanzibar na kujifanya wazanzibar kumbe kutoka mrima(mapandikizi)
 
Mzanzibar ni mtu wa visiwani zanzibar na mtanganyika ni mtu kutoka mrima,saivi kuna wahamiaji haramu kutoka mrima hujifanya nao ni wazanzibar tena hukamata madaraka na kuanza kuwatawala wazanzibar na kujifanya wazanzibar kumbe kutoka mrima(mapandikizi)
Wewe hata hujui Tanganyika ni wapi na Mrima ni wapi.

Ni jambo la aibu kusema Tanganyika ni Mrima.

Na kauli hii inadhihirisha umajununi wako.
 
Hizi link hata ww unaweza kubuni yako ukaweka,narejea tena soma historia ya taifa lako tanganyika mliopigania uhuru miaka ya 1961
"Miaka ya 1961" iko mingapi?
 
Kero kuu ni kuwarejeshea wazanzibar uhuru wao ulioporwa kwa mtutu wa bunduki na manyang'au miaka ya 1964
Hawa wanaotawala saizi sio wazanzibar au acha ubaguzi mkuu hata kama hamkubaliani ideology na wenzako jifunze kuvumiliana na nyie CUF siku mkipata dola hamtabuguziwa
 
Hawa watu wengine kuelewana nao bila kurudia swali mara nne nne ni vigumu.

Na hata ukirudia, wanaweza kukubishia kwa hisia, wakaacha kuangalia ukweli.

Hivyo, mjadala unaweza kuwa unahusisha na wengine wengi watakaoona kwamba huyu hapa kashindwa kujibu swali licha ya kuulizwa mara nne.

Najibizana naye, lakini wanaosoma na kufaidika na majibizano ni wengi.
Sio km cjaelewa ayo maswali yako lkn kuna comment apo juu nilikuambia kiuhalisia haya mambo ya uzanzibar ni ni magum kuyatafsir lkn mm nimekujib kutokana na swali lako

Na ndivo ilivyo sina uhakika km hadi sasa vitabu vya uraia vya shule za msing zaznzibar hili suala limo lkn miaka ya nyuma nishaliona

Nani mzanzibar na nani mtanzania tena na tafouti wamewekewa
 
Wewe hata hujui Tanganyika ni wapi na Mrima ni wapi.

Ni jambo la aibu kusema Tanganyika ni Mrima.

Na kauli hii inadhihirisha umajununi wako.
Soma historia ya taifa lako tanganyika utaelewa.
 
Hawa wanaotawala saizi sio wazanzibar au acha ubaguzi mkuu hata kama hamkubaliani ideology na wenzako jifunze kuvumiliana na nyie CUF siku mkipata dola hamtabuguziwa
Ttzo mtanganyika ukimuita mtanganyika inakuwa nongwa,wakati mzanzibar anasikia ufahari kujiita mzanzibar.
 
Sio km cjaelewa ayo maswali yako lkn kuna comment apo juu nilikuambia kiuhalisia haya mambo ya uzanzibar ni ni magum kuyatafsir lkn mm nimekujib kutokana na swali lako

Na ndivo ilivyo sina uhakika km hadi sasa vitabu vya uraia vya shule za msing zaznzibar hili suala limo lkn miaka ya nyuma nishaliona

Nani mzanzibar na nani mtanzania tena na tafouti wamewekewa
Ni magumu kuyatafsiri kutoka lugha gani kwenda lugha gani? Na kwa nini ukarukia vitu ambavyo huwezi kuvitafsiri?

Hujanijibu mchakato wa kupata Uzanzibari baada ya ukazi wa miaka 10 ukoje, maombi yanapelekwa wapi, hati ya Uzanzibari ikoje?
 
Wewe usiyejua Tanganyika ni nini na Mrima ni nini si mtu wa kuniambia nisome historia.
Wewe ni mtanganyika ndio maana nikakwambia uisome historia ya taifa lako tanganyika,au unataka kunambia tanzania ndio iliyopigania uhuru?
 
Back
Top Bottom