imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,404
Ukiwekewa mezani FIFA au OIC utachagua lipi?!Hawataki zanibar wawe ni wanachama wa FIFA
Ukiwekewa mezani FIFA au OIC utachagua lipi?!Hawataki zanibar wawe ni wanachama wa FIFA
Ukiwekewa mezani FIFA au OIC utachagua lipi?!
Kwa mfano Zanzibar ikitaka kujiunga na ISIS unaona sawa tu.Kwanini mnashindwa kuiwachia Zanzibar kuamua wanavyotaka
Kwa mfano Zanzibar ikitaka kujiunga na ISIS unaona sawa tu.
Haya tufanye Zanzibar ing'ang'anie kujiunga na Somalia wewe utaona sawa tu?!.Kwani kuna nchi imejiunga na ISIS hata iwe Zanzibar ???
Ukiwekewa mezani FIFA au OIC utachagua lipi?!
Sasa hii ni ramli,mbona Fatma anatutesa huku na wala hatumuui.
Haya tufanye Zanzibar ing'ang'anie kujiunga na Somalia wewe utaona sawa tu?!.
Mwaka jana nilitembelea visiwani Zanzibar nilishuhudia watu walivyo huru wenye furaha wachangamfu,nikawa najisemea rohoni; "wanasiasa bhana, ukiwasikiliza utasema visiwa vinawaka moto."Ishu sio fifa wala oic ishu ni Uhuru.
Kwa sababu tuko katika jumuiya moja sintofurahi kabisa.Kwani Kenya ikifanya kujiunga na Somalia wewe utaona sawa ??
Mwaka jana nilitembelea visiwani Zanzibar nilishuhudia watu walivyo huru wenye furaha wachangamfu,nikawa najisemea rohoni; "wanasiasa bhana ukiwasikiliza utasema visiwa vinawaka moto."
Dini yangu pia hainiruhusu kuwa na Uhuru kupita kiasi,ila Uhuru alhamdulilahi ninao haswa wa kubadili mboga.Hata wewe mwenyewe hupo huru. Unahitaji kujielewa ili kujifaham
Kwa sababu tuko katika jumuiya moja sintofurahi kabisa.
Dini yangu pia hainiruhusu kuwa na Uhuru kupita kiasi,ila Uhuru alhamdulilahi ninao haswa wa kubadili mboga.
Sasa hebu fikiria Wasomali elfu hamsini na majambia wazunguke katika mitaa ya Dar na Zanzibar si hatari sana.Hutofurahi kwa sababu ya jumuia moja kwani jumuia hairuhusu nchi nyengine kujiunga na nchi jirani ??
Daah.. afadhali yule murtadi katuondokea ilikuwa imeshakuwa kero.
Ule ulikuwa wakati wa dhiki bora wakati huu wa uhuru wa bendera.Hata wakati wa ukoloni mboga kubadili mukibadili lakini bado mkisema hamuko huru.
Sasa hebu fikiria Wasomali elfu hamsini na majambia wazunguke katika mitaa ya Dar na Zanzibar si hatari sana.