recho Jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2023
- 214
- 428
Sisi wazanzibar tunataka muungano uvunjike zamani Sasa nashangaa viongozi wenu Bado wanatubembelezaHakipo kitu kama hcho dada
Huu muungano ni faida kwa Zanzibar
Sisi wazanzibar tunataka muungano uvunjike zamani Sasa nashangaa viongozi wenu Bado wanatubembelezaHakipo kitu kama hcho dada
Huu muungano ni faida kwa Zanzibar
Mama yenu Samia si ndy anab mbeleza sabab anaona mnafaidika anachukua hela za bara anapeleka zenj kujeng miradiSisi wazanzibar tunataka muungano uvunjike zamani Sasa nashangaa viongozi wenu Bado wanatubembeleza
Naongea na wewe naongea na huyuTuna mamlaka kamili wazanzibar hatupendi kuruzwaburuzwa
Ukitaka kujua nani anafaidika na muungano angalia ni nani ambaye anaung'ang'ania huo muunganoHakipo kitu kama hcho dada
Huu muungano ni faida kwa Zanzibar
Sasa nyie nani kawang'ang'aniaUkitaka kujua nani anafaidika na muungano angalia ni nani ambaye anaung'ang'ania huo muungano
Wewe inaonyesha hata huo muungano huujui hebu Rejea maneno ya lukuvi aloyasema kanisani wakati wa bunge la katiba ndio utahamu nani anafaidika na huo muunganoSasa nyie nani kawang'ang'ania
Nyi ndy mnafaidika ndy maana viongozi wenu hawataki kuuachia muungano maana vitu vyote wanaiba bara kwa kisingizio Cha muungano
Ww ndy hujui kitu bobu funga bakuli lako ufanye mambo yako manWewe inaonyesha hata huo muungano huujui hebu Rejea maneno ya lukuvi aloyasema kanisani wakati wa bunge la katiba ndio utahamu nani anafaidika na huo muungano
Sasa ndio unazungumza kitu gani? Ona ulivomtupu katiba masuala ya MuunganoWw ndy hujui kitu bobu funga bakuli lako ufanye mambo yako man
Fanya mambo yako bobu wewe hujui kitu achana na post zangu sitaki kuvurugwa manSasa ndio unazungumza kitu gani? Ona ulivomtupu katiba masuala ya Muungano
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Kama ulikuwa unaitwa Mashaka baada ya kuokoka na kubatzwa na kupatiwa jina la Yohana bado utaendelea kujiita Mashaka?Wadau wote tunajua Muungano wa Nchi mbili TANGANYIKA na ZANZIBAR ulizaa Nchi ya 3 ambayo ni TANZANIA.Kati ya hizo Nchi 3 Nchi 2 zipo lakini Nchi ya 3 HAIPO ambayo ni TANGANYIKA
Je kwanini HAIPO?
Je kwanini ZANZIBAR na TANZANIA ziwepo?
Je TANZANIA ndio imechukua nafasi ya TANGANYIKA?
Maelezo mengi ya nini mkuu? Sema Tanganyika ndio TanzaniaKama ulikuwa unaitwa Mashaka baada ya kuokoka na kubatzwa na kupatiwa jina la Yohana bado utaendelea kujiita Mashaka?
Ukishapita level fulani kama ni kielimu ulikua na Associate Professor baadaye ukatunukiwa kuwa Professor kamili bado utaendelea kuutafuta ule uzamani wako?
Thanks, ndio vitu tunataka kusikia kutoka kwenu✍️✍️✍️✍️Freedom is coming very soon
Tukiungana na wote tukawa na kauli moja hakuna linaloshindikana.Freedom is coming very soon