Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hawaachi hawa. Ndio maana tuna wachungaji na maaskofu bungeni.Huyo kuna kipindi alitangaza kuokoka na kuachana na siasa kabisa
Namtakia kila la Kheri Kamanda Mtungireh ... Zama zake sisi wengine tulikuwa bado O level pale Ilboru, Namkumbuka sana Advocate Kamara alivyokuwa anatusimulia manjonjo ya huyo kamanda... Well, zama zile bado System ilikuwa ya mfumo wa chama kimoja Zaidi, haki za binaadamu zilikuwa hazilindwi sana ... bado hajachelewa, ananafasi ya kuweka tofauti kwa jamii yake ya kitanzania ....
Nasikia mwenzetu Kajunju naye yuko bize kwa ajili ya kutaka jimbo la Nkenge kwa yule mama.
Ni Mhima Mkuu au ,Mtusi wa Rwanda..!aliyekimbilia Kyerwa wakati wa Vita!!?Benedicto Mtungilehi Mtachoka. Ni mhima wa Ruhita karibu na mabira wilaya mpya ya kyerwa(karagwe) .Ni mzuri kwa maneno hovyo sana kwa vitendo na ana unafiki mkubwa sana