Mutungirehi: mwanasiasa mahiri kazimikia wapi?

Hilo tukio sitakaa nilishau, aliposhushwa toka kwenye stage, jamaa walianza kumshindilia mangumi na mateke. Mimi nilikuwa fresher enzi hizo, niliogopa sana maana nilijua atauwawa--alikuwa anapigwa kama kibaka---namuona live mbele yangu. Bahati yake, watu waliokuwa mbali walianza kutupia viti kumpiga, makamandoo wa FOE wakamuachia wakiogopa kupigwa viti--ndio mwanya wa maswahiba wake kumnyakua na kumkimbiza. Nilivyoona, ile ilikuwa kifo chake aisee! He is very lucky!

Duh mkuu TzPride kumbe nawe ulikuwepo? Kumbe ulikuwa fresher? Haya maneno unayosema kwamba ulioogopa kuna mtu nilimsikia anayaongea pale hall five, nadhani ni wewe! Mimi enzi hizo nilikuwa mwaka wa tano pale chuoni! Baada ya hapo ikaja ile adhabu ya INTIMIDATION basi watu wengine wakasimamishwa! Kuna watu walisoma FOE miaka 6.
 
Last edited by a moderator:
Bandugu,
Wachangiaji wote ni wsle waliosoma naye zamani. Ambaye ameonana nayee karibini ni Kajunju 2007. Je hskuna waliye karibu naye ili wamstue kusoma uzi huu ili ajibu hoja hapa kueleza yuko wapi na nini mustakabari wake kisiasa?. Maana ninavyomfahamu ksma angekutana na bunge la sasa basi ingekuwa ni hatari kwa msgamba maana timu ya upinzani ingekuwa nk moto wa kuotea mbaali.

Mkuu Royals tumekumbuka mbali kweli kweli! Naona Mutungi kaamua kuwa mfanyabiashara manake alikutana na Lyatonga akafanyiwa kitu mbaya!
 
Last edited by a moderator:
Kimalando, jaribu kurekebisha kumb zako. Benedict Mtungirehi alijiunga na UDSM ktk mwaka wa masomo 1992/93. Alipokuwa second year 1993/94 ndipo alipochaguliwa kuwa DARUSO president.
 
Ukimuhitaji anakaa Jet ingawa sijui kama ni Mchimbo, Kwa Alli Mboa, Kwa Gude lakini mara nyingi nimekutana naye maeneo hayo. Kwa kweli maisha ni mzunguko huyu bwana amepungua sana ila kichwa bado kina mawazo ya kimapinduzi, kama kuna anayetaka mawasiliano yake nitampa namba yake ya simu maweze kukumbushana yaliyopita na mustakabali wa nchi yetu.
 
Niko natafuta no yake.ndan ya muda mfupi nitaiweka hewani. Yawezekana kati yetu humu kuna mtu mwenye ushawishi mkubwa wa kumbadilisha
 
Duh mkuu TzPride kumbe nawe ulikuwepo? Kumbe ulikuwa fresher? Haya maneno unayosema kwamba ulioogopa kuna mtu nilimsikia anayaongea pale hall five, nadhani ni wewe! Mimi enzi hizo nilikuwa mwaka wa tano pale chuoni! Baada ya hapo ikaja ile adhabu ya INTIMIDATION basi watu wengine wakasimamishwa! Kuna watu walisoma FOE miaka 6.

Ebwanaaa! mwaka wa tano!Kusimulia? Huenda nilikuwa mimi, maana nilikuwa nakaa hall 5 mwaka huo. Kimbunga, ni kweli niliogopa sana, maana nilikuwa naona jamaa anauwawa live mbele yangu..few meters. Yes, nakumbuka INTIMDATION, lilikuwa popular word sana baada ya tukio na adhabu kutolewa.
 
Hilo tukio sitakaa nilishau, aliposhushwa toka kwenye stage, jamaa walianza kumshindilia mangumi na mateke. Mimi nilikuwa fresher enzi hizo, niliogopa sana maana nilijua atauwawa--alikuwa anapigwa kama kibaka---namuona live mbele yangu. Bahati yake, watu waliokuwa mbali walianza kutupia viti kumpiga, makamandoo wa FOE wakamuachia wakiogopa kupigwa viti--ndio mwanya wa maswahiba wake kumnyakua na kumkimbiza. Nilivyoona, ile ilikuwa kifo chake aisee! He is very lucky!
Mimi nilikuwa ukumbi wa juu nilipoona viti vinarushwa high table nikajua jamaa hatasalimika, unajua u-traitor ni mbaya sana sisi tulipanga (Rev. Square sijui kama siku hizi bado wanaitumia) tuendelee na mgomo kumbe usiku mwenzetu kaitwa ikulu asubuhi akaja kutueleza eti tuipe muda serikali wanafunzi hawakumwelewa.
 
Duh mkuu TzPride kumbe nawe ulikuwepo? Kumbe ulikuwa fresher? Haya maneno unayosema kwamba ulioogopa kuna mtu nilimsikia anayaongea pale hall five, nadhani ni wewe! Mimi enzi hizo nilikuwa mwaka wa tano pale chuoni! Baada ya hapo ikaja ile adhabu ya INTIMIDATION basi watu wengine wakasimamishwa! Kuna watu walisoma FOE miaka 6.
Mkuu Kimbunga umenikumbusha mbali sana zile barua za Dean of students (Manongi?) tulizopewa....tell us who intimidated you... watu wakajidai kufunguka ma-page na ma-page kumbe waliojieleza sana ndio walikuwa taget na ndio wengi waliofuatiliwa.
 
Mimi nilikuwa ukumbi wa juu nilipoona viti vinarushwa high table nikajua jamaa hatasalimika, unajua u-traitor ni mbaya sana sisi tulipanga (Rev. Square sijui kama siku hizi bado wanaitumia) tuendelee na mgomo kumbe usiku mwenzetu kaitwa ikulu asubuhi akaja kutueleza eti tuipe muda serikali wanafunzi hawakumwelewa.

Mkuu umenikumbusha mbali, nakumbuka kama vile alikuwa ndio kwanza kalejea toka nje ya nchi, Sweden?? kama sikosei na akatupa matumaini kwamba atalifanyia kazi tumpe muda, kumbe ndo ikawa kuharibu mpango mzima, na jamaa wakamshitukia.
 
Kale kajamaa kalikuwa kembamba ksma njiti za baiskeli lakini kamejaa ukorofi kweli. Kingekuwa leo bungeni madam speker angekuwa anasahau kuongea kiswahili kila akisimama kuuliza swali au kuchangia hoja.
 
na 'aliempindua' ni Eliakim Maswi katibu mkuu nishati na madini
Mkuu hebu nikumbushe huyu Maswi ndiye yule alikuwa anapenda kuvalia suruali tumboni?

Kuna siku tulikuwa pale Utawala tumegoma baada ya kumpindua Mutungirehi, tukaambiwa tuchangue watu watano watuwakilishe kwa VC yeye akawemo. Nasikia walipoingia ofisini kwanza waliombwa IDs zao pili wakaambiwa kama mnataka kuendelea na shule kawaambieni wenzenu watawanyike sasa hivi, walipotoka jamaa tumbo lilikuwa limekwisha kabisa suruali ilikuwa imeshuka karibu kudondoka.
 
Benedicto Mtungilehi Mtachoka. Ni mhima wa Ruhita karibu na mabira wilaya mpya ya kyerwa(karagwe) .Ni mzuri kwa maneno hovyo sana kwa vitendo na ana unafiki mkubwa sana
 
Nilionana nae mwaka jana anaishi Airport, mambo yake sio mazuri sana naona anaishi kwa kubangaiza tu, sio kwamba namsema ni ukweli wenyewe,
 
Ina maana anaishi kwa kubangaiza hadi anashindwa kujiunga na JF.
 
Benedicto Mtungilehi Mtachoka. Ni mhima wa Ruhita karibu na mabira wilaya mpya ya kyerwa(karagwe) .Ni mzuri kwa maneno hovyo sana kwa vitendo na ana unafiki mkubwa sana

Ana unafki gani? Yaonekana unamjua vizuri had huko kwao ruhita. In actual fact jamaa ni mzuri kujieleza isipokuwa watu wa kyerwa mlitaka awe anawanunulia pombe na kuwaonga pesa. Mazingira enzi zake kuhusu upinzani zilikuwa mbaya sana.upinzan ulikuwa uhasama/chuki na ata kupeana sumu. Watu wa kambi ya ccm waliumia kushndwa na mtu ambaye hakuwa na pesa isipokuwa mdomo na elimu, wakti yule wa ccm alikuwa milionea,anawanzesha pombe,gari mnapanda bure huku akidhibiti waganda wasinunue kahawa anunue yeye kwa bei anayotaka.kumbuka mwaka 2005 ndiye mbunge alikuwa kachangia sana bungeni. Bunge lilipokuwa linaisha wanasema aliishi kijijini kitwe na gari yake ilikuwa ambulance jimbon kwerwa.nimempgia rafiki yake ambaye yuko kaisho na walisoma wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom