Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Bandugu bapenzi,
Yule mwanasiasa mahiri na machachari katika upinzani wa kwanza kwanza yuko hai na kama yu hai yuko wapi kwa sasa na anajishughulisha na kitu gani?
Maana wakati ule alikuwa maarufu sana wakishirikana na kamanda Wilfred Rwakatare ambaye sasa yuko M4C.
Bandugu; Wenye kujua taarifa zake wazimwage hapa jamvini na walio na mawasiliano naye wamwambie siasa sasa ni M4C na kama anataka kurudi ulingoni basa amfuate Rwakatare kwenye chama makini.
#NYONGEZA #
HAKI YA MUNGU, MUNGU NI MKUBWA. 12.4.2015.
Wana jukwaa.
Leo furaha yangu ni kuona huyu bwana Benedicto amejitokeza tena baada ya kuwa mafichoni kwa muda mrefu.
Zaidi nafurahi sana kwa kuwa kaibukia akiwa kwenye Coalition kubwa ya Ukawa kupitia Chadema. Hii inaonesha jinsi ambayo jukwaa hili linavyoweza kujenga na kuimarisha mambo hata yaliyo na yasiyo kwenda sawa sawa.
Ni matumaini yangu kuwa ataibukia Bungeni tena kwa kupitia kwa wa piga kura wake na kwa uwezo wa Mungu.
Mungu ibariki Tanzania. Mungu ubariki Ukawa na Mungu ibariki Chadema.
Yule mwanasiasa mahiri na machachari katika upinzani wa kwanza kwanza yuko hai na kama yu hai yuko wapi kwa sasa na anajishughulisha na kitu gani?
Maana wakati ule alikuwa maarufu sana wakishirikana na kamanda Wilfred Rwakatare ambaye sasa yuko M4C.
Bandugu; Wenye kujua taarifa zake wazimwage hapa jamvini na walio na mawasiliano naye wamwambie siasa sasa ni M4C na kama anataka kurudi ulingoni basa amfuate Rwakatare kwenye chama makini.
#NYONGEZA #
HAKI YA MUNGU, MUNGU NI MKUBWA. 12.4.2015.
Wana jukwaa.
Leo furaha yangu ni kuona huyu bwana Benedicto amejitokeza tena baada ya kuwa mafichoni kwa muda mrefu.
Zaidi nafurahi sana kwa kuwa kaibukia akiwa kwenye Coalition kubwa ya Ukawa kupitia Chadema. Hii inaonesha jinsi ambayo jukwaa hili linavyoweza kujenga na kuimarisha mambo hata yaliyo na yasiyo kwenda sawa sawa.
Ni matumaini yangu kuwa ataibukia Bungeni tena kwa kupitia kwa wa piga kura wake na kwa uwezo wa Mungu.
Mungu ibariki Tanzania. Mungu ubariki Ukawa na Mungu ibariki Chadema.