Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Ofsi ya bunge imesema kuwa inawezekana kuufanyia marekebisho muswaada wa marekebisho ya katiba wa 2011 ama kuufuta kabisa endapo kutakuwa na sababu za msingi.
Source.Gazeti la Mwananchi la leo
My Take:Hawa magamba wamehisi kwamba ujumbe wa chadema unaotarajia kuonana na jk unaweza kuwa na hoja za msingi zinazoweza kupelekea hali hii so wanaanza kusaka refuge ili ikitokea waseme kanuni zinaruhusu ili kufuta dhana kuwa ni ushawishi wa chadema?
Nawasilisha.
Source.Gazeti la Mwananchi la leo
My Take:Hawa magamba wamehisi kwamba ujumbe wa chadema unaotarajia kuonana na jk unaweza kuwa na hoja za msingi zinazoweza kupelekea hali hii so wanaanza kusaka refuge ili ikitokea waseme kanuni zinaruhusu ili kufuta dhana kuwa ni ushawishi wa chadema?
Nawasilisha.