Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Wakati wao wanalogana ili kugombea vyeo vya Kinana na Chongolo , Chadema Musoma Mjini imekutana na viongozi wao wa Vijiji, Kata na Jimbo kupanga utaratibu wa kuiua ccm kwenye eneo hilo .
Mkakati wa sasa wa CHADEMA ni kuchukua wananchi wote na kuibakishia ccm viongozi pekee pamoja polisi , yaani tunachukua watu wote halafu tunakuachia DED, DC, OCD na Mwenyekiti wa Halmashauri, halafu siku mkija kuhutubia mnakutana na Watendaji tu.
Hali ndio hii, CHADEMA na Wananchi, CCM na viongozi.
Mkakati wa sasa wa CHADEMA ni kuchukua wananchi wote na kuibakishia ccm viongozi pekee pamoja polisi , yaani tunachukua watu wote halafu tunakuachia DED, DC, OCD na Mwenyekiti wa Halmashauri, halafu siku mkija kuhutubia mnakutana na Watendaji tu.
Hali ndio hii, CHADEMA na Wananchi, CCM na viongozi.