Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,711
- 218,260
Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania (CHADEMA), huko Bunda mjini kimekutana na wanachama wake kwa ajili ya kupanga mikakati mipya ya kuifuta ccm kwenye eneo hilo.
Chadema yenye Wanachama hai zaidi ya mil 15 nchi nzima (kwa Mujibu wa Chadema Digital) huku ikiwa na mamilioni ya Wafuasi, imedhamiria kuitokomeza kabisa CCM Bunda, lengo likiwa ni kubakisha DC, DED, OCD labda na viongozi wa CCM wa wilaya pekee, ambao inatajwa si rahisi kujitoa CCM kutokana na vyeo walivyonavyo kuwasaidia kujikimu.
Hivi ndivyo ilivyokuwa.
Chadema yenye Wanachama hai zaidi ya mil 15 nchi nzima (kwa Mujibu wa Chadema Digital) huku ikiwa na mamilioni ya Wafuasi, imedhamiria kuitokomeza kabisa CCM Bunda, lengo likiwa ni kubakisha DC, DED, OCD labda na viongozi wa CCM wa wilaya pekee, ambao inatajwa si rahisi kujitoa CCM kutokana na vyeo walivyonavyo kuwasaidia kujikimu.
Hivi ndivyo ilivyokuwa.