Muslim University Of Morogoro kozi Mpya.

kanda2

JF-Expert Member
Apr 22, 2007
1,318
72
Chuo kikuu cha Waislam kilichoko Morogoro kimetangaza kozi mbali mbali kwa mwaka 2009-2010 kama Kozi za Sheria-Law,Business Administration,Education,Mass Communication n.k.
website ya chuo ni WWW.mum.ac,tz
 
hahahaha, hivi hiki nacho ni chuo? hahaha, nadhani kinashika mkiani. bahati mbaya, watakao ingia ni wachache na ni wa dini moja. watakaofundisha pia ni wa dini moja kwasabbu jina tu linaogopesha. naombe pigeni kampeni misikitini ili watu waende kwasababu kitakuwa empty bila wanafunzi au kitafilisika. mtashindwa kukiendesha, na msivyotoaga na sadaka au kuchangia hivyo. duh.
 
hahahaha, hivi hiki nacho ni chuo? hahaha, nadhani kinashika mkiani. bahati mbaya, watakao ingia ni wachache na ni wa dini moja. watakaofundisha pia ni wa dini moja kwasabbu jina tu linaogopesha. naombe pigeni kampeni misikitini ili watu waende kwasababu kitakuwa empty bila wanafunzi au kitafilisika. mtashindwa kukiendesha, na msivyotoaga na sadaka au kuchangia hivyo. duh.
... .....kama Huu ndio mtazamo wako basi Tuna Kazi kuyafikia maendeleo Halisi ya Mtanzania....!!!
 
mi nasubiri kozi ya mahakama ya kadhi na ile ya oic sijuii zinaanza lini vile
 
mara ya mwisho kimeshika nafasi ya ngapi kitaifa?nataka kujiunga, maana hawa nao kwa madrasa badala ya madarasa........
 
Zipo namna za kupima ubora wa vyuo mbalimbali kuanzia idadi ya machapisho ya cho husika, ratio ya walimu kwa wanafunzi, vifaa vya kujifunzia na kufundishia na siku hizi pia wameongeza opinion za students juu ya potential for empoyment, quality etc.
Sasa basi ukweli ni kwamba hakuna chuo cha nani wala nani hapo Tanzania. Nimepata ya bahati ya kuwepo kwenye vyuo binafsi na vya umma. Huko kwenye vyuo binafsi hakuna kitu kabisaaaa with exceptions in very if not some courses. Tusiwaonee waislam, lets be realistic. Wengi wa wanafunzi kwenye vyuo binafsi wanamatatizo kuanzia qualifications, structures za course, evaluation na monitoring. Kwenye hili bado safari ni ndefu
 
hahahaha, hivi hiki nacho ni chuo? hahaha, nadhani kinashika mkiani. bahati mbaya, watakao ingia ni wachache na ni wa dini moja. watakaofundisha pia ni wa dini moja kwasabbu jina tu linaogopesha. naombe pigeni kampeni misikitini ili watu waende kwasababu kitakuwa empty bila wanafunzi au kitafilisika. mtashindwa kukiendesha, na msivyotoaga na sadaka au kuchangia hivyo. duh.

Inaonesha wewe unajifanya umeenda shule bora; lakini, mbona mawazo yako bado madogo? Nenda shule ili uelimike zaidi.
 
mara ya mwisho kimeshika nafasi ya ngapi kitaifa?nataka kujiunga, maana hawa nao kwa madrasa badala ya madarasa........

Hivi bongo kuna chuo namba moja!! hahahaha. Wanazuoni wenyewe waliotoka hizo shule "bora" ni Mafisadi!! duh bongo.
 
Hii ipelekwe kwenye jukwaa la kidini,
Mbona hawa jamaa wanapenda sana mambo ya kidini? why je hicho chuo kinapokea waislam tu?

Ifikie wakati muondokana na tabia za kibaguzi za waraabu kkumbukeni Uislam ni dini ya waarabu isitutenganishe sisi watanzania kama ni vyuo kwanini wasiite jina lolote kama vile taqwa sheikh fulani, nk mpaka wakiite cha kiislam so Nadhani hapo watakuwa wanafundisha deen tu! Naukienda mtu mwengine utajiskia vibaya ambaye haupendi mambo ya kidini, kwanza nadhani dada zetu watalazimishwa wavae mahijabu wakati hilo ni vazi la jangwani, any way let see.
 
Hii ipelekwe kwenye jukwaa la kidini,
Mbona hawa jamaa wanapenda sana mambo ya kidini? why je hicho chuo kinapokea waislam tu?

Ifikie wakati muondokana na tabia za kibaguzi za waraabu kkumbukeni Uislam ni dini ya waarabu isitutenganishe sisi watanzania kama ni vyuo kwanini wasiite jina lolote kama vile taqwa sheikh fulani, nk mpaka wakiite cha kiislam so Nadhani hapo watakuwa wanafundisha deen tu! Naukienda mtu mwengine utajiskia vibaya ambaye haupendi mambo ya kidini, kwanza nadhani dada zetu watalazimishwa wavae mahijabu wakati hilo ni vazi la jangwani, any way let see.


Mheshimiwa Bwana Thinkpad

Kwanza, Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) nayo ina ina neno Christian, je nalo ni kosa au ni kosa kuwa na Muslim University tu.

Pili, wewe unaongelea udini wakati mwenyewe unayafanya yale yale ya kuona dini moja ni duni, inashangaza.
 
Hii ipelekwe kwenye jukwaa la kidini,
Mbona hawa jamaa wanapenda sana mambo ya kidini? why je hicho chuo kinapokea waislam tu?

Ifikie wakati muondokana na tabia za kibaguzi za waraabu kkumbukeni Uislam ni dini ya waarabu isitutenganishe sisi watanzania kama ni vyuo kwanini wasiite jina lolote kama vile taqwa sheikh fulani, nk mpaka wakiite cha kiislam so Nadhani hapo watakuwa wanafundisha deen tu! Naukienda mtu mwengine utajiskia vibaya ambaye haupendi mambo ya kidini, kwanza nadhani dada zetu watalazimishwa wavae mahijabu wakati hilo ni vazi la jangwani, any way let see.

Wanataka kuisilimisha nchi ya Tanzania (Mahakama ya Kadhi & OIC) kiwe chuo?
 
Mheshimiwa Bwana Thinkpad

Kwanza, Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) nayo ina ina neno Christian, je nalo ni kosa au ni kosa kuwa na Muslim University tu.

Pili, wewe unaongelea udini wakati mwenyewe unayafanya yale yale ya kuona dini moja ni duni, inashangaza.


Nawao pia hao KCMC niwanafiki kwanini waweke jina ambalo litawaogopesha waislam kwenda kutibiwa,
Haifai kufanya hivyo katika vyombo vya public kama shule,maospital ila kama madrasa sawa , kama kanisa sawa.

hii kitu ni mbaya mno inaleta tofauti fulani.
 
Nawao pia hao KCMC niwanafiki kwanini waweke jina ambalo litawaogopesha waislam kwenda kutibiwa,
Haifai kufanya hivyo katika vyombo vya public kama shule,maospital ila kama madrasa sawa , kama kanisa sawa.

hii kitu ni mbaya mno inaleta tofauti fulani.

hiyo ndo tofauti iliyopo, nenda kcmc ukute waliolazwa pale ndo useme ni kwa christians au watu wote, tofauti na hiyo varsity ipo purely km kile chuo cha zanzibar!! bado wenzetu muslims hamjawa na ile hali ya kuweza kutumia kitu chenu pamoja na wa dini zingine,bila kuweka udini ulio wazi na dhahiri, mimi kama vyuo vyote nchini vikifungwa kikabaki hicho mlichohongwa na Nkapa cha walipakodi,basi mi ntaenda kwingine au bora kukosa elimi ya juu kumbe ni ya juu kwa kwenda chini!!
 
hiyo ndo tofauti iliyopo, nenda kcmc ukute waliolazwa pale ndo useme ni kwa christians au watu wote, tofauti na hiyo varsity ipo purely km kile chuo cha zanzibar!! bado wenzetu muslims hamjawa na ile hali ya kuweza kutumia kitu chenu pamoja na wa dini zingine,bila kuweka udini ulio wazi na dhahiri, mimi kama vyuo vyote nchini vikifungwa kikabaki hicho mlichohongwa na Nkapa cha walipakodi,basi mi ntaenda kwingine au bora kukosa elimi ya juu kumbe ni ya juu kwa kwenda chini!!

Nakumbuka zamani ukitaka kwenda kusoma shule ya Mission lazima ubadilishe dini kuwa mkristo au ufate sheria na taratibu za madhehebu ya shule hizo.
 
Kwa jina nafikiri hakuna matatizo kwa sababu hicho chuo siyo cha umma.Lakini kwa ubora wa vyuo hapa nyumbani ni hakuna.wewe tembelea tovuti zao hata leo halafu uangalie machapisho (publications) za mwisho zilitoka lini.utakuta ni miaka mitano hadi 10 zilizopita.Machapisho ndo uhai wa chuo.Alafu angalia auditors wa journal mbali mbali za africa kama African journals of biotechnology, plant science,economy, etc. lectures wa bongo sijawaona.wengi wao africa magaribi, africa kusini, misri, kenya. Hapa kufanya research ni mpaka ufadhili. serikali mmm!
 
Hivi bongo kuna chuo namba moja!! hahahaha. Wanazuoni wenyewe waliotoka hizo shule "bora" ni Mafisadi!! duh bongo.

Point ndogo lakini ina maana kubwa.......
Wengi wa mafisadi wamezaliwa chuo kimoja kikubwa na kikongwe hapa nchini,una maana hicho chuo kinazalisha mafisadi????
 
Chuo kikuu cha Waislam kilichoko Morogoro kimetangaza kozi mbali mbali kwa mwaka 2009-2010 kama Kozi za Sheria-Law,Business Administration,Education,Mass Communication n.k.
website ya chuo ni WWW.mum.ac,tz

Lakini mbona km wamechelewa???
Tcu wameishatangaza majina ya wanafunzi wa academic year 2009/2010...ina maana hicho chuo hakiangaliwi na TCU? na swala la HESBL linaangaliwaje?
 
Mimi mlokole pia na mimi nina ruhusa ya kusomea hapo?
Ila nisikute faculty ya namna ya kutengeneza mabomu ya kujitoa mhanga!
 
Hii ipelekwe kwenye jukwaa la kidini,
Mbona hawa jamaa wanapenda sana mambo ya kidini? why je hicho chuo kinapokea waislam tu?

Ifikie wakati muondokana na tabia za kibaguzi za waraabu kkumbukeni Uislam ni dini ya waarabu isitutenganishe sisi watanzania kama ni vyuo kwanini wasiite jina lolote kama vile taqwa sheikh fulani, nk mpaka wakiite cha kiislam so Nadhani hapo watakuwa wanafundisha deen tu! Naukienda mtu mwengine utajiskia vibaya ambaye haupendi mambo ya kidini, kwanza nadhani dada zetu watalazimishwa wavae mahijabu wakati hilo ni vazi la jangwani, any way let see.

ThinkPad,

hakika mchukia jua basi limemchwea. sasa vipi na wewe, wameku......... sema kweli.

kama Uislamu ni dini ya waarabu , Vipi Ukristu ni dini ya nani?
 
Back
Top Bottom