Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 2,194
- 4,802
Mwnaharakati machachari na mzalendo wa Chama cha Mapinduzi, aliyependa na kupendwa sana na hayati Magufuli Cyprian Musiba amesema hajaelewa sababu walizotumia viongozi wa chama kukata jina lake pamoja na majina ya watu wengine
Musiba amesema yeye amechukua fomu kwa mara ya nne mwaka huu na mwaka 2020 alishika nafasi ya pili kwenye kura za maoni kati ya watia nia 42, lakini cha ajabu mwaka huu ameonekana hata hafai kugombea kura za maoni, na waliopata kura 0 katika jimbo la mwibara 2020 wamepitishwa huku yeye akiachwa
Musiba ameongeza kusema utaratibu huu sio mzuri kwani ni kuwachagulia wanachi wawakilishi wao, maana watu wanaopitishwa na chama kuna uwezekano hakuna anayekubalika na huku waliokatwa wakawa ndio wanakubalika
Hata hivyo amemeliza kwa kusema wana CCM tuunge mkono maamuzi ya viongozi
Msikilize zaidi ukipenda
View: https://youtu.be/0TbXx0QHvpw?si=J33KRkYwvbQyoFlF
Musiba amesema yeye amechukua fomu kwa mara ya nne mwaka huu na mwaka 2020 alishika nafasi ya pili kwenye kura za maoni kati ya watia nia 42, lakini cha ajabu mwaka huu ameonekana hata hafai kugombea kura za maoni, na waliopata kura 0 katika jimbo la mwibara 2020 wamepitishwa huku yeye akiachwa
Musiba ameongeza kusema utaratibu huu sio mzuri kwani ni kuwachagulia wanachi wawakilishi wao, maana watu wanaopitishwa na chama kuna uwezekano hakuna anayekubalika na huku waliokatwa wakawa ndio wanakubalika
Hata hivyo amemeliza kwa kusema wana CCM tuunge mkono maamuzi ya viongozi
Msikilize zaidi ukipenda
View: https://youtu.be/0TbXx0QHvpw?si=J33KRkYwvbQyoFlF