Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,654
- 218,143
Huyu mzee tulimuonya tangu mapema sana kwamba miaka aliyoingoza Uganda inatosha , mwaka ujao asigombee tena , kwa bahati mbaya sana akapuuza.
Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake kwa kushrikiana na Maaskofu njaa , eti umri wake ulikosewa ! baadaye akaamua kuondoa vifungu vya katiba vilivyomtaka mtu aliyefikisha umri wa miaka 75 kutogombea Urais wa Uganda ili agombee hadi atakapokuwa na mkongojo .
Lakini sasa hali imembadilikia , Waganda hawataki hata kumsikia , achilia mbali kumuona , Mzee ushawishi wake umepukutika mithili ya majani ya mti uliokauka, hawezi kushinda Urais labda apore kama wanavyofanya madikteta wengine wa kiafrika .
Poor Museveni
Akaanza Juhudi za kishetani za kupunguza miaka yake kwa kushrikiana na Maaskofu njaa , eti umri wake ulikosewa ! baadaye akaamua kuondoa vifungu vya katiba vilivyomtaka mtu aliyefikisha umri wa miaka 75 kutogombea Urais wa Uganda ili agombee hadi atakapokuwa na mkongojo .
Lakini sasa hali imembadilikia , Waganda hawataki hata kumsikia , achilia mbali kumuona , Mzee ushawishi wake umepukutika mithili ya majani ya mti uliokauka, hawezi kushinda Urais labda apore kama wanavyofanya madikteta wengine wa kiafrika .
Poor Museveni