Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Rias wa Uganda, Yoweri Museven (kulia), akimwagiza Katibu Mkuu wa SADC, Thomaz Salomao (aliyesimama)kupeleka nakala ya hotuba yake kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Joseph Kabila, kwenye mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa SADC, jijini Dar es Salaam jana. Museveni alibainisha chanzo cha migogoro ya vita DRC kwenye mkutano huo. Kushoto ni mwenyekiti wao, Rais Jakaya Mrisho Kikwete na katikati ni Mwenyekiti wa SADC, Rais wa Msumbuji, Armando Guebuza.