Kuwa na baraza dogo sio tija, kinachotakiwa ni ufanisi wa serikali . Na hilo ndilo amesema Museveni. Amesema tizama amerika , mawaziri wa mambo ya nje wapo zaidi ya 7, Waziri wa mambo ya nchi za nje Africa, Asia nk. Ni funzo kwa CDM kuwa sera zao hazitekelezeki. Na wakati wa uchaguzi , Dr Besigye alijifanya kuiga sera za cdm za bure bure, wananchi wakamwaga kama walivyo fanya kwa Slaa
hata kikwete naye si alijifanya kuomba msamahahata mie nimemsikia; ila aliniacha hoi aliposema "polisi walitumia nguvu kupita kiasi" kumuadhibu mpinzani wake Dr. Besigye
Kuwa na baraza dogo sio tija, kinachotakiwa ni ufanisi wa serikali . Na hilo ndilo amesema Museveni. Amesema tizama amerika , mawaziri wa mambo ya nje wapo zaidi ya 7, Waziri wa mambo ya nchi za nje Africa, Asia nk. Ni funzo kwa CDM kuwa sera zao hazitekelezeki. Na wakati wa uchaguzi , Dr Besigye alijifanya kuiga sera za cdm za bure bure, wananchi wakamwaga kama walivyo fanya kwa Slaa
MKUU, LAKINI MBONA HAWAJAJIBU TUHUMA KUWA WAMEIBA KURA NA ZIKAWEKWA UKURASA WA MBELE NA GAZETI LA MWANANCHI? Hizi ni shutuma kubwa sana huwezi kuzipuuza tu kama ingekuwwa ni uwongo. NI UKWELI MTUPU.
Hivi wajua kuwa tume ya uchaguzi wameshindwa kuweka kura za urais ktk website yao kutokana na kuogopa kuongeza ushahidi kwa CDM watakapolinganisha matokeo waliyonayo ambayo hayaendani na ukweli?
Binfasi kama mkiti wa CHADEMA jimbo la ubungo ninaweza kukuhakikishia kuwa kilichotangazwa na tume ya uchaguzi sicho tulicho nacho sisi kutoka kwa mawakala wetu waliokuwepo vituo vyote. Walichakachua. Kwamba CCM waliiba kura si mzaha, ni kweli. Niliwashangaa tu kwamba walifikiri hata kuiba kura za majimbo kama ubungo na Hai kwa mh Mbowe.
Kwa hiyo, Slaa hajamwagwa alichakachuliwa. Hasira za kuchakachuliwa ndo inayoendelea kuonekana Nyanda za juu kusini na Kanda ya Ziwa wakati wa Maandamano. Kama huamini waambie CCM wakaandamane kanda ya ziwa au nyanda za juu kusini kama hawajaaibika.
asisitiza wanasiasa wazungumzie hoja za msingi kama maendeleo na umeme. Namnukuu:
"...unaweza kuwa na baraza lenye waziri hata mmoja tu, lakini kama hakuna umeme ni kazi bura....".mwisho wa kunukuu.
Wana-cdm wenzangu munasemaje?
Source: Bbc nairobi
mseven yuko sawa kabisa ,chadema hawana issue ya kitaifa tatizo lao wanakwenda kwa upeop.
MKUU, LAKINI MBONA HAWAJAJIBU TUHUMA KUWA WAMEIBA KURA NA ZIKAWEKWA UKURASA WA MBELE NA GAZETI LA MWANANCHI? Hizi ni shutuma kubwa sana huwezi kuzipuuza tu kama ingekuwwa ni uwongo. NI UKWELI MTUPU.
Hivi wajua kuwa tume ya uchaguzi wameshindwa kuweka kura za urais ktk website yao kutokana na kuogopa kuongeza ushahidi kwa CDM watakapolinganisha matokeo waliyonayo ambayo hayaendani na ukweli?
Binfasi kama mkiti wa CHADEMA jimbo la ubungo ninaweza kukuhakikishia kuwa kilichotangazwa na tume ya uchaguzi sicho tulicho nacho sisi kutoka kwa mawakala wetu waliokuwepo vituo vyote. Walichakachua. Kwamba CCM waliiba kura si mzaha, ni kweli. Niliwashangaa tu kwamba walifikiri hata kuiba kura za majimbo kama ubungo na Hai kwa mh Mbowe.
Kwa hiyo, Slaa hajamwagwa alichakachuliwa. Hasira za kuchakachuliwa ndo inayoendelea kuonekana Nyanda za juu kusini na Kanda ya Ziwa wakati wa Maandamano. Kama huamini waambie CCM wakaandamane kanda ya ziwa au nyanda za juu kusini kama hawajaaibika.
kumbe we gb unaenda kwenye mkutano kisa mkwanja pole sana. najua hata wewe upendi hii system kutokana tu na ufinye wa akili yako inabidi ufanye hivyo..
Na unaweza kuwa na mawaziri 70 na umeme usiwake pia ni kazi bure.....bora mmoja bila umeme kuliko 70 bila umeme....
Time to rest Mr. Museven
1. Kura zinaibwaje? hebu tuelezee
2. Wanaotakiwa kujibu ni tume , je mliisha peleka hoja zenu kwa tume ? tume haifanyi kazi kupitia magazeti , hapo ndipo nyie viongozi wa cdm nakosa elimu ya uongozi
3. Hizo karatasi za mawakala wenu tutahakikishaje kama na nyie hamja zichakachua? kwani cdm ni mabingwa wa uongo na uzandiki
4.Kama CDM mpaka leo hii hamna uhakika mnacho kidai kwani takwimu zenu zinatofautiana sana
5. Slaa hakuchakachuliwa hayo ni maneno ya kujifariji kushindwa mkuu, kubalini jipangeni 2015
6. Hebu nipe statistics huko nyanda za juu na kanda ya ziwa chadema ina wabunge wangapi na ccm wangapi. Hapo ndipo utakapo ona kukubalika kwa mtu