BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,357
- 8,062
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mabadiliko makubwa kwenye elimu yanakuja.
Alisema Rais Samia alitaka Wizara ya Elimu kufanya mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ilitungwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne.
“Sera iliyopo haijatekelezwa ambayo ilifanyiwa mapitio, elimu ya msingi mpaka darasa la sita, sekondari miaka minne ili mwanafunzi akae shuleni miaka 10,” alisema na kuongeza:
“Mabadiliko kwenye elimu yanakuja na yajayo yanafurahisha, tutapitisha kwenye Baraza la Mawaziri ili tupate kibali.”
Alisema Rais Samia alitaka Wizara ya Elimu kufanya mapitio ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ilitungwa wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne.
“Sera iliyopo haijatekelezwa ambayo ilifanyiwa mapitio, elimu ya msingi mpaka darasa la sita, sekondari miaka minne ili mwanafunzi akae shuleni miaka 10,” alisema na kuongeza:
“Mabadiliko kwenye elimu yanakuja na yajayo yanafurahisha, tutapitisha kwenye Baraza la Mawaziri ili tupate kibali.”