MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,067
- 709
Poleni najukumu wana jamii, kwa waliosoma shule za miaka ya nyuma kidogo kabla ya mkapa osis. Katika shule za msingi Tanzania kulikuwa na mtiririko wa story kuanzia darasa la tatu mpaka la saba. Katika vitabu vya kiiengereza wahusika walikuwa familia ya Mr$Mrs Daud huku watoto wao wakiwa Musa na Neema na mdogo wao Baraka.
Vitabu vile vilikuwa na mtiririko mzuri wa habari za kumvutia msomaji. Lkn watunzi wa sasa vitabu vyao ninakopy hadithi ambazo kila mmoja anazijua, hawana ubunifu. Mtunzi wa vitabu alikuwa nani?
Vitabu vile vilikuwa na mtiririko mzuri wa habari za kumvutia msomaji. Lkn watunzi wa sasa vitabu vyao ninakopy hadithi ambazo kila mmoja anazijua, hawana ubunifu. Mtunzi wa vitabu alikuwa nani?