MUSA na NEEMA wako wapi?

MUSA na NEEMA wako wapi?

Hawa hapa....


395011_344736028877114_1023084701_n.jpg
 
"Musa is cleaning the blackboard"
"Neema is sweeping the floor"

I am Musa
I am a boy
I am ... years old

IT WAS GOOD!

I an Neema
I am a girl
I am thirteen years old
Aisee........namkumbuka sana teacher Wang wa kuzungu enzi hizo.....day RIP...ulikuwa too good kwa hii English foundation...we enjoyed
 
Poleni najukumu wana jamii, kwa waliosoma shule za miaka ya nyuma kidogo kabla ya mkapa osis. Katika shule za msingi Tanzania kulikuwa na mtiririko wa story kuanzia darasa la tatu mpaka la saba. Katika vitabu vya kiiengereza wahusika walikuwa familia ya Mr$Mrs Daud huku watoto wao wakiwa Musa na Neema na mdogo wao Baraka.
Vitabu vile vilikuwa na mtiririko mzuri wa habari za kumvutia msomaji. Lkn watunzi wa sasa vitabu vyao ninakopy hadithi ambazo kila mmoja anazijua, hawana ubunifu. Mtunzi wa vitabu alikuwa nani?

Elimu ya sasa ilishachakachuliwa I am telling you,yaani zamani ulikuwa unasoma kwa mtiririko wa kueleweka unamsoma Neema kuanzia darasa la tatu mpaka la saba kama sijakosea, pia unatajiwa maeneo mbali mbali ya Tanzania kiasi kwamba inakusaidia hata katika somo la jografia.Mfano Sadoki na Fikiri wanaishi Ujiji kesho utamsoma Andunje anaishi Kinampanda.Sasa hivi elimu ilishachakachuliwa unasoma vitabu vya akina Nyangwine eti ndiyo vitabu vya kiada na ziada
 
Nakumbuka Shairi la KARUDI BABA MMOJA;

Enzi zile darasa la NNE. Tunatiririka na ubeti mwanzo mwisho tena kwa raha zetu hata mitaani utasikia watotot wanaimba KARUDI BABA MMOJA


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Nakumbuka Shairi la KARUDI BABA MMOJA;

Enzi zile darasa la NNE. Tunatiririka na ubeti mwanzo mwisho tena kwa raha zetu hata mitaani utasikia watotot wanaimba KARUDI BABA MMOJA


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!


Mimi nakumbuka pia ...Siku ya gulio Katerero na kambi ya kaboya.
 
Mmenikumbusha mbali...vipi ile story ya "Jogoo lililombeba mtu kichwa chini miguu juu?....." ama kweli ya kale ni DHAHABU
 
Hawa watunzi wa sasa hovyo kabisa...
Vile vitabu vya enzi za Nyerere na Mwinyi ndiyo vilikuwa vitabu bomba, mwanafunzi huchoki kuvisoma...
 
Wakati huo tukiwa na bikira za akili na maarifa,wakati wa utakaso...watoto Tanzania nzima tukiwa kitu kimoja ktk umoja wa Taaluma na michezo,tukiunganishwa ktk umoja na upendo na mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA,Wakati haupo tena upande wa watoto wetu.
Elimu ilikuwa sawa,mitaala yenye kufanana iliyotujaza maarifa na uweledi,hadithi nzuri ktk vitabu zilizotufundisha jinsi ya kuheshimu wakubwa,walimu na wazazi wetu.Vitabu vyenye simulizi ya kukemea uwizi,ulafi na uchoyo..haya ndiyo mambo ya kina ”CHOPEKO NA MNOFU“,”ADILI NA NDUGUZE“,”PAZI NA JOGOO“,”SHUJAA SETH BENJAMIN“
Tuliokuwa watoto wa wazazi ambao ni watumishi wa umma tulihamahama huku na kule,kila tulipoenda tulikuta ufanano wa kilichofundishwa,lakini leo mambo ni tofauti...anachokisoma mtoto wa darasa la tano Mjimwema Primary school si sawa na anachosoma mtoto wa Tusiime ya pale Tabata.
Nini kimetokea ktk elimu yetu???
nikiwaona Juma na Roza inanikumbusha mbaliiii sana.
 
Mi namkumbuka yule Matola ambaye alikuwa mchoyo kiasi kwamba hata wakati wa msosi alikuwa anajificha, kuna siku alikuwa anakula gizani kwa bahati mbaya akala na mdudu! nadhani kitabu hiki kitakuwa na cha darasa la 1 au 2, enzi hizo.
''tola : njaaa ipo muda mrefu
watu wanalalal bila kula
tola njaa ipo muda mrefu
watu wananlalal bila kula njaaa njaaaa ''
alafu picha inaonyesha ametapika konokono mwenye mapembe ananza kutembea aiseee i will never forrget popote nitakapovipata vile vitabu nitavinunua kwa gharama yoyote ila
 
Wakati huo tukiwa na bikira za akili na maarifa,wakati wa utakaso...watoto Tanzania nzima tukiwa kitu kimoja ktk umoja wa Taaluma na michezo,tukiunganishwa ktk umoja na upendo na mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA,Wakati haupo tena upande wa watoto wetu.
Elimu ilikuwa sawa,mitaala yenye kufanana iliyotujaza maarifa na uweledi,hadithi nzuri ktk vitabu zilizotufundisha jinsi ya kuheshimu wakubwa,walimu na wazazi wetu.Vitabu vyenye simulizi ya kukemea uwizi,ulafi na uchoyo..haya ndiyo mambo ya kina ”CHOPEKO NA MNOFU“,”ADILI NA NDUGUZE“,”PAZI NA JOGOO“,”SHUJAA SETH BENJAMIN“
Tuliokuwa watoto wa wazazi ambao ni watumishi wa umma tulihamahama huku na kule,kila tulipoenda tulikuta ufanano wa kilichofundishwa,lakini leo mambo ni tofauti...anachokisoma mtoto wa darasa la tano Mjimwema Primary school si sawa na anachosoma mtoto wa Tusiime ya pale Tabata.
Nini kimetokea ktk elimu yetu???
nikiwaona Juma na Roza inanikumbusha mbaliiii sana.
 
Tena hawa enzi hizo walikuwa darasa la pili
Aise vile vitabu havitakaa vitokee tena, hata ukiangalia vitabu vya kiswahili na jiografia navyo vilikuwa na mtiririko mzuri kuanzia darasa la tatu hadi la saba
Miaka hii sasa kila shule na vitabu vyake lol!


Na je kuhusu Juma na Rosa, walipotelea wapi!??
 
Mi namkumbuka yule Matola ambaye alikuwa mchoyo kiasi kwamba hata wakati wa msosi alikuwa anajificha, kuna siku alikuwa anakula gizani kwa bahati mbaya akala na mdudu! nadhani kitabu hiki kitakuwa na cha darasa la 1 au 2, enzi hizo.

Mzee Tola
 
Back
Top Bottom