kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Mr & Mrs Daud kwa sasa wote marehemu, bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe. Mr Daud alikuwa na rafiki yake kipenzi Mr Balali. Mr Balali alipo mpata first born wake akampa jina la Daud. Baadae Daud Balali akawa msomi mzuri sana mpaka akawa mfanyakazi bank ya dunia. Baadae Mkapa akamwingiza choo cha kike naye akiingia kichwa kichwa. Kwa sasa Daud Balali kafa Tanzania ila nchi nyingine yuu hai. Amekuwa kama Michal Jackson ila hali huku Tanzania Dada zake, Mdogo wake wa kiume wameuza viwanja, mashamba yake kama awana akili nzuri. Yale maroli aliye yaacha kwa kaburu jirani yake sijui yamepotelea wapi. Yule mzee msimamizi wa mali zake almanusra wamtoe roho, mzee kaumwa ehheee mpaka sasa ufahamu wa ubongo wake umekuwa upepo.
Mussa yupo uturuki sasa hivi na mke wake mzungu ili hali Neema alizalishwa ovyo ovyo hana mbele wala nyuma. Baraka yeye ni lecture Toronto University.
Mussa yupo uturuki sasa hivi na mke wake mzungu ili hali Neema alizalishwa ovyo ovyo hana mbele wala nyuma. Baraka yeye ni lecture Toronto University.