Karibu mitaa hiiWanaJf Nina wazo la kununua trekta ila changamoto niliyonayo ni gharama kubwa na kiwango Cha fedha nilichonacho ni 15 million. Tusaidiane wadau wapi ntapata hata kwa mkopo wa kutanguliza asilimia flani ya malipo kutimiza ndoto yangu.
OkMara nyingi bei zake, naona wanaanzia 40M+; kwa kukushauri, ebu fika kwa wauzaji, mkubaliane namna ya kulipa kidogo kidogo
Nenda kampuni za trekta mfano New Holland, john dear, case, Deutz kwa pesa hio utatanguliza utapata HP 50 bila jembeWanaJf Nina wazo la kununua trekta ila changamoto niliyonayo ni gharama kubwa na kiwango Cha fedha nilichonacho ni 15 million. Tusaidiane wadau wapi ntapata hata kwa mkopo wa kutanguliza asilimia flani ya malipo kutimiza ndoto yangu.
Nenda nbc bankWanaJf Nina wazo la kununua trekta ila changamoto niliyonayo ni gharama kubwa na kiwango Cha fedha nilichonacho ni 15 million. Tusaidiane wadau wapi ntapata hata kwa mkopo wa kutanguliza asilimia flani ya malipo kutimiza ndoto yangu.
Efta wanakopesha kwakuanza na kianzio Cha asilimia 30 ya Bei halisi, eneo unalolima lianzie heka 50 na marejesho yao ni Kila mwezi ukifeli wanachukua chombo. Huo ni utaratibu wao Kwa mwaka 2019 sijui Kama wamebadili kwasasaKuna jamaa wanajiita efta. huwa nawasikia sana wakijinasibu kwenye hizo mambo wacheki online wapo.
Unataka trekta jipya au used from ulaya/Amerika au Used kwa Afrika? Kila moja na gharama zake, Ukicheza Songwe na mbeya utapata used ya Malawi na Zambia, kama unaweza jilipua nenda Singida, Dodoma au Manyara hasa kiteto hnaweza otea, unaweza visit kigogo na magomeni kwa trekta za used nje na kama unataka nyuu tembelea EFTA unaweza pata abc mpaka zWanaJf,
Nina wazo la kununua trekta ila changamoto niliyonayo ni gharama kubwa na kiwango cha fedha nilichonacho ni 15 million.
Tusaidiane wadau wapi nitapata hata kwa mkopo wa kutanguliza asilimia flani ya malipo kutimiza ndoto yangu.
Dah, unemzungusha sana jamaa, atachanganyikiwaU
Unataka trekta jipya au used from ulaya/Amerika au Used kwa Afrika? Kila moja na gharama zake, Ukicheza Songwe na mbeya utapata used ya Malawi na Zambia, kama unaweza jilipua nenda Singida, Dodoma au Manyara hasa kiteto hnaweza otea, unaweza visit kigogo na magomeni kwa trekta za used nje na kama unataka nyuu tembelea EFTA unaweza pata abc mpaka z